Wadau;
Naomba kujua kwa nini kwa asilimia kubwa ugomvi wa ardhi kati ya wafugao na walimao; wafugao huwa ni wamasai zaidi? (Iwe Arusha, Moro, Lindi au Katavi)
Kwani "normads" ni wamasai tu nchi hii? Na wasukuma ni wafugao ila ni nadra kuwasiki ktk mitifuano hiyo. Wamasai kulikoni?
Naomba kujua kwa nini kwa asilimia kubwa ugomvi wa ardhi kati ya wafugao na walimao; wafugao huwa ni wamasai zaidi? (Iwe Arusha, Moro, Lindi au Katavi)
Kwani "normads" ni wamasai tu nchi hii? Na wasukuma ni wafugao ila ni nadra kuwasiki ktk mitifuano hiyo. Wamasai kulikoni?