Uwezi pigana na mtu mwenye air superiority na uendelee kusonga mbele ni kama israel anacho fanya gaza ndo wanacho fanyiwa hawa wavamizi na Russia na syria army kwa sasa.
Waasi awana akili kabisa wanaenda kama vile nyumbu kwenye misafara.viongozi karibu wote wameshauliwa na mashambulizi ya Warusi.wameanza kurudisha miji na siku si nyingi mji wao wa Idlib utabebwa