Visanga vya Mahusiano ni vingi lakini...

Visanga vya Mahusiano ni vingi lakini...

mzizi1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
265
Reaction score
708
Habari wakuu,

Kuna kitu nimewaza na haya ni mawazo huru. Maisha kwasasa yamekuwa ghali sana, na piah utandawazi umebadilisha mitazamo mingi sana.

Tujikite hapa, kuhusu mahusiano imekuwa kawaida sana kusikia lawama za mahusiano kwa Sasa na wengi wanaoanzisha nyuzi humu ndani shutuma nyingi wanaziendekeza kwa hao wenzi wao kila anaeleta malalamiko humu ndani yeye ni mambo safi mwenzie ndo ana matatizo.

Kama vijana hasa wa kiume jaribu kuyawaza haya.

1. Maisha yamebadirika hakuna apendae maisha magumu.

Huu ni ukweli uliowazi maisha kwa Sasa ni tofauti na Karne, tujifunze kuishi kulingana na maisha yalivyo. Kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta kwa nguvu na mwisho anaekula matunda ni mwanamke (mama au mpenzi).

Unakuta kijana upo Hauna uhakika wa kuishi, kazi ni shida, upatikanaji wa pesa ni WA shida na wakusuasua, kujituma wajituma lakini Bado Hali haijakaa sawa, ukimiliki mwanamke mzuri atahitaji gharama na matunzo azidi kuimarika na uzuri wake usipotee, kumiliki mwanamke mzuri na kuhakikisha anabakia kwenye fomu yake yakuhitaji gharama yanini kumiliki gari ambalo huna uwezo wa kulitunza?! Na ukiwa na mwanamke mbovu ni hasara kwa matamanio yako ya mwili, lakini ukiwa na mwanamke mbovu "kiakili" ni hasara kwa maisha yako yote?

2. Wanaume wengi hatuna hisia na watu wetu sababu kuu ni utafutaji na mazoea. Mtu uko na mwanamke utafutaji wako ni WA patupapatu, muda wote wawaza kazi, hisia na mwenzio hakuna, watoka kazini muda umeenda wataka kumpanda tu na sababu ya uchovu huwezi mudu tendo vizuri, ubora wako unapotea, anabakia na mawazo tu yasio yakujenga akishikwa akili na marafiki plus hiyo namba Moja hapo juu, lazima kichwa kiwake moto.

3. Umalaya.

Hili linaeleweka vyema, wanaume tuliowengi tuna matamanio ya juu sana. Wakuta mwanaume Yuko katika mahusiano heshima kwa mtu wake haipo, mdada wa watu kila mara akuvumilia kwa mengi, apambania penzi lake lisiingie kinyamkera, akikufuma na messages au viashiria na wanawake wengine unatumia uanaume tu "mwanaume akosei", okay plus namba pili plus namba Moja hapo juu?

4. USAFI.

Piga hesabu sisi wanaume tukidate na mwanamke mchafu maneno humu ndani ni mengi sana, kashfa ni nyingi, upande wa pili?!, Mwanaume kazikazi unarudi kwapa Liko hoi unakula wataka ule tena full uchafu kuoga ni kazi, mwili watoa harufu usafi tu waboxer ni kazi, boxer ukiirusha haidondoki inasimama, viatu vinanuka, mdomo, kumuandaa mwenzio ni shida ushamgeuza kuku, ongezea na hayo ya hapo juu?!!

5. Sifa za kipuuzi.
Mwanamke mbinafsi ni hatari kwa ndugu wa mume, lakini ukikutana na mwanamke anaejali na anahako kaubinafsi lazima mfike mbali kimaisha. Wanaume wengi ni wabinafsi, wengi hawahudumii kwa moyo, ugomvi kidogo utasikia "mimi nakulisha nakuvisha nimekununulia simu..." Mzee huo ni wajibu, na kwanini umhesabie wema wako, kwanini usifanye kwa moyo.

Kwani kumhudumia ni tiketi ya kumfanya utakavyo?! Kumsomesha ni tiketi?! Na kwanini umsomeshe wakati hujasoma kufika level hizo?! Na piah kumsomesha kwann iwe ni tiketi ya kuoa?! Bado waeza msomesha na usiwe na malengo yoyote nae (wenye hela ndo wanafanya hivi) wewe huna kitu unahudimia kwa kuhesabu (ubinafsi) mwisho unasahau wajibu plus ya hapo juu

Mwisho.
Mahusiano mengi, causes zinafanywa na wanaume kwa kutokujua kwa sababu ya matumizi mfu ya 'uanaume', na effect zinatolewa na wanawake na mwishoni kuonekana kuwa wanawake wanamatatizo.

Jitahidi kujikubali kama mwanaume kwa kile ulichojaaliwa na jipe muda, epuka kumiliki kitu ambacho huna uwezo wa kukimudu muda mrefu, ingia katika mahusiano ukiwa na utayari. Kuingia kwenye mahusiano muda mfupi unatanga ndoa ni kama kubashiri tu matikiti uloyaona muda mfupi na kuamua kuchukua yaweza tokea bahati ukabahatisha. Jitahidi kuishi mwanaume hakuna aliye mkamilifu.

TUMIA MUDA MWINGI KUTAFUTA MWANAMKE KABLA YA KUINGIA KWENYE MAHUSIANO NA USIDATE NA MALAYA, wanawake wengi ambao hawayaelewi mahusiano yao"wako single"
 
Jua hivi, wanawake wote wana matatizo yao, chagua mwenye matatizo unayoweza kuyamudu
 
Wanawake wooote hakuna mwenye tatizo!! nimetembea na ke wengi sana! lkn woote wananipenda mnoo!! na kila mmoja wao nimemzalisha watoto wawili -3 wananitunza, mie na watoto wao wenyewe! baadhi wanajuana!

Nilipotaka kusafiri wamejichanga nikasafiri mbalii sana na huko nikatafuta Maisha, kati yao saba niko nao huku!..Bahati wamepata kazi wote!...sasa tumefungua home care yetu!

Hivi tunajipanga tukfungue ka Kijiji ka kisasa huko nyumbani
 
Maisha kwasasa yamekuwa ghali sana, na piah utandawazi umebadilisha mitazamo mingi sana.
Sema hivi ''Maisha ya sasa ni Magumu sana! siyo kama zamani!''.....huu msemo niliusikiaga kwa Bibi yangu tangu kitambo sana Enzi za Nyerere hukooooo!!!

wkt Bibi anatamka hayo ! tulikuwa na Nyumba nzuri sana, kuliko woote pale kijijini! Moghabiri, kwa sababu tulikuwa na ng'ombe wa kisasa wengi!! maziwa kama kawa!! zero grazing! kwenye fence ya kisasa mnoo!

Water supply pale kwetu ilikuwa siyo shida kabisaaa! kwa miaka yoote! hata hao mifugo walikuwa wana kunywa maji hayo hayo tena Masafi si kawaida! Mbali na hilo Mazao/matunda km ovecadoes,

michungwa, guavas, ndizi nk! Mama wee! niseme nini mie mnielewe!! eneo kubwa sana la kutosha! hata kwenda kuwinda Wanyama wadogo wadogo! lkn eti Maisha yale yalikuwa Magumu!

kwa utoto ule!! kweli niliamini huenda zamani Maisha yalikuwa marahisi!!…….kuuumbe uongo mtupu na kuchanganyikiwa kwa Bibi ajili ya uzee!!

Nashangaa sana mwana JF unatuimbia wimbo wa zama za Nyerere eti Maisha Magumu??? weye ndo Mgumu Barabara zoooote hizo za lami?? Maghorofa yooote hayo bado unalia tu.…...Elimu km zote!

Basi!! uzaa, Mayai, au nenda kipunguni wewe okota tuu mayai wape wakurya waje kuuza mjini pia huwezi? kukamua n'ombe anaekula majani bure ukauze maziwa mjini huwezi pia?

Basi hata makopo ya maji upate hela hutaki!!..unakuja kututisha humu Maisha magumu??? koma kabisaa huko huko kwenu! Moderator thread km hizi muwe mnazipiga pin! Baaana hii mijitu ya vijijini inaudhi sana!

una bahati uko mbali shukuru sana...…..ungekuwa karibu ningekupiga kofi mpaka unyeee!! shida zako unaona ndo sehemu sahihi za kututangazia hapa???

humu JF ni Matajiri tuu! umekosea siyo sehemu sahihi kwako! na wote tuna Magari, Nyumba, kazi! tena nje ya nchi! hapa tunaandika kutokea nchi za watu huku!...tumeshashiba Maziwa ya ngamia tuna cheua tu saahizi!

weye Unakuja na habari za vinyesi hapa!! weye si miongoni mwetu! Katafute wa draja lako unasikia??? na usinijibu!! mie sijibiwi na Maskini! usije niambukiza ugumu wako wa Maisha!!kweeendaraaa! usituliie hapa!
 
KWENYE MAHUSIANO NA USIDATE NA MALAYA,
Haya ndo nakukataza kila siku lkn huelewi!! unatamka tu eti ''Malaya'' weye si Malaya??...unatafuta nini kwake km siyo kufanya umalaya?? wewe leo hii upo Duniani kwa kuwa watu wawili walifanya Umalaya huo huo!

yamkini hata huyo Mzee mzizi si Baba yako halali!!…...KWanza Unajua kazi ya Bibi yake Yesu weye??...Maliamu Magdalena alikuwa wa kwanza kumuona Yesu alipo fufuka! hao unaoona hawakuwa na dhambi hawakumuona!!

Kwa Muktadha huo usitukane wanawake hivo wkt huo umalaya wanafanya na wanaume ! km nakusingizia wewe uliwajuaje kuwa hao Malaya wapo??...waache nao ni watu wanastahili kuolewa na wenye heshima!

ukikaza mkono kuwa sema ukufe!...km ni kuach basi na wewe uachwe usioe sababu unaongoza kwa mahudhurio huko!!...usiwaseme sweety wetu bana!! wanatuzalia vitoto vizuri vizuri! tunapata hela! Mamaaa! Lina upooooo!

Njoo huku uone chawi la karne!....Tena kwa taarifa yako ke Malaya ndo Mzuri kwa sabu hizi

1, anajua uzuri na ubaya wa wanaume wooote!,,,hkn wa kumtisha!!

2. anakismarti sababu aliuza na akauzika ivo ana soko zuri, na wewe utauza biashra km zote unazo!

3..amefikia mwisho wa starehe sasa anatulia! lkn ukipata mke mpya hajui huko nje pakoje! atawauzia boda boda!

4 Hakuna jipya la kumtisha!

5,Mpaka malaya amekuchagua kuishi na wewe jua kabisa una kismart! hutapungukiwa kifedha/kimaisha!

6. Mpaka amekuchagua basi anajua weye unajua kumkuna vizuri kifupi umejaaliwa kunako sita kwa sita!

7.Una nyota ya Mafanikio sasa anaunganisha ili muwe kitu kimoja...........usijidanganye eti kwa sababu wao ni Malaya tu! kwa hiyo wana shida eti watakushobokea thubutuuu!!

hata wao hao wanachagua wa kuendana nao! kimasrahi!...kuna wanaume km nyie mna gundu weye unadhani atakufuata kweli??? amini maneno haya kuna watu me humu humu Mijini

wanapataga Maku zao Bureeeee! tena wanaitaga jina lao ivi………..sasa ukikaa saana bila kwenda unaitwa ukaonjeshwe na hela unapewa juu!..utasikia ''Jumapili njoo tutoke bana''

Na kweli watakupeleka viwanja mpaka uyambe kifukuto!! amabapo hujawahi fika na jiji ni hilo hilooo! ukiona ivo wamekukubali saaana hata mahali watakusaidia kutoa!

wale Malaya ukiwa na kismart utakuwa unaenda wanakupa bure tyuu!! tena huyo huyo mmoja, ukienda kwnigine analipa usiende! unakula unavo taka lkn km unalipa kila siku ujue weye kimeo! km mleta Mada!
 
Back
Top Bottom