Visa-china visa-china visa-china!

G12

Senior Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
156
Reaction score
51
Siku za usoni, hapa Tz kumekuwepo na wimbi kubwa la watu kukosa visa kwenda nchini China.

Mfanyabiashara (Mtanzania tuu) anayehitaji visa, tuwasiliane.


Mdau.
 
siku za usoni zipi mkuu?

Siku za usoni, hapa Tz kumekuwepo na wimbi kubwa la watu kukosa visa kwenda nchini China.

Mfanyabiashara (Mtanzania tuu) anayehitaji visa, tuwasiliane.


Mdau.
 
nini uraisi mpk ukitaka mke!!

Mke wa Kichina?
Kweli WaTZ ni kiboko maana hata ofisi za Ushauri, kutembezwa Uchina (Mji wa Ghuanzong) utawapata vishoka wa kukuonyesha Maduka na hata mali zilizo feki na genuine
 

Mke wa Kichina?
Kweli WaTZ ni kiboko maana hata ofisi za Ushauri, kutembezwa Uchina (Mji wa Ghuanzong) utawapata vishoka wa kukuonyesha Maduka na hata mali zilizo feki na genuine
hilo pia linawezekana ilimradi uonekane una hela tu,utaundiwa kitu chochote alimradi waafune hela zako!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…