Virusi vya Zika vyaenea kwa ngono Marekani

JAMII-ASM

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
1,305
524
_88064920_hi031253765.jpg

Mwanaume mmoja huko Texas kamuambukiza mkewe virusi vya Zika kwa njia ya ngono. Hili limegundulika baada ya mkewe kuchukuliwa vipimo na kuthibitika kaambukizwa. Alipoulizwa kama alisafiri nje ya marekani huyu mama akawaeleza wanaomtibu kuwa hajawahi kusafiri katika nchi zilizoathirika..ila mumewe karudi kutoka Venezuela.
Wataalamu wametoa taarifa kuwa kuna uwezekano mkubwa huyu mama kaambukizwa kwa njia ya ngono.

Zika virus infection 'through sex' reported in US - BBC News
 
_88064920_hi031253765.jpg

Mwanaume mmoja huko Texas kamuambukiza mkewe virusi vya Zika kwa njia ya ngono. Hili limegundulika baada ya mkewe kuchukuliwa vipimo na kuthibitika kaambukizwa. Alipoulizwa kama alisafiri nje ya marekani huyu mama akawaeleza wanaomtibu kuwa hajawahi kusafiri katika nchi zilizoathirika..ila mumewe karudi kutoka Venezuela.
Wataalamu wametoa taarifa kuwa kuna uwezekano mkubwa huyu mama kaambukizwa kwa njia ya ngono.

Zika virus infection 'through sex' reported in US - BBC News
madhara yake ni yap haswa kwa binadam
 
Kuzaa watoto wenye vichwa vikubwa.
mmh! wanaishi kwa muda gani? madhara kwa mtu ambaye si mjamzito ni yap?

mbona naona kama ni kama HIV ya aina ingine, wataalam wanapambana na HIV/AIDS iliyoteketeza mamilion ya watu ghafla vika
 
mmh! wanaishi kwa muda gani? madhara kwa mtu ambaye si mjamzito ni yap?

mbona naona kama ni kama HIV ya aina ingine, wataalam wanapambana na HIV/AIDS iliyoteketeza mamilion ya watu ghafla vika
Sio Vika..unaitwa ZIKA.
 
Ni bora ukafuta neno ngono na ukaweka kujamiiana. Ngono ni zinaa.
 
Zinka ikiingia ktk nchi ya ushangae kama tz utasikia etindiowanafanya utafiti kujua kinga na tiba wakati nchizingine hivi sasawanafanya utafiti ililujua watajikingaje
 
Back
Top Bottom