VIRUS ATTACK ".MOIA FILE EXTENSION" HOW TO DECRYPT INCRYPTED FILES?!

VIRUS ATTACK ".MOIA FILE EXTENSION" HOW TO DECRYPT INCRYPTED FILES?!

The bump

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2019
Posts
2,344
Reaction score
3,406
Wajomba nimepatwa na na kunipata sijui naanzia wapi ila ki ufupi kuna jamaa kaniotea huku kwenye computer yangu, ana encrypt files anazibadilisha to .MOIA extension.

Mfano nyimbo au video ya MP4 anaibadilisha to

Name.mp4.moia

Kasha encrypt 80% ya files zangu, nafanya biashara ya Movies so mnaweza pata picha files za 8TB ziko encrypted.

Hiyo ni external A external B yenye size 6TB napo nakutana na moia kila movie ninayoiendea...

Ki ufupi nina allmost 40TB zilizokua encrypted sijui nafanyaje ili kuzi decrypt hizi file?

nmejaribu ingia online nimejaribu software tofaut tofaut hasa hii ya decrypt_STOPDjvu ila wapi ina scan mwisho inaniambia

This file has online ID it is impossible to decrypt it..

Akili ime stuck halafu siku za majanga kama haya wateja ndio wanakuja kama mvua, nisaidieni mwenye solution ndugu zangu mniokoe na hili jahazi.

Atakae niokoa na huu msala sitomuacha hivi hivi nitamshukuru kwa kidogo kitakachokuwepo Nisaidieni ndugu zangu sielewi hapa, Ofisi naiona chungu leo.

Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
CONTROLA
IT Net Solution
ICT_student_TZ

Na wengine wote naomba msaada wenu wakuu.
 
Pole sana mkuu, hao uliowataja wote nondo ni swala la muda tu

Tukiwa tunawasubiri, agiza juice ya miwa hapo
 
Pole sana mkuu, hao uliowataja wote nondo ni swala la muda tu

Tukiwa tunawasubiri, agiza juice ya miwa hapo
Akili imeganda mkuuuu nawasubiri waje watoe walau mwanga natokaje katika huu msala,ukiskia kuchanganyikiwa ni Leo mkuu,sipo sawa kbsa.
 
Mi ningejarbu kufuta hiyo .moia huko mbele


Nimejaribu kufanya hivyo mkuu lakini wapi inakataaa,nikajaribu ku convert labda itakubali ila nikitupia file kwenye conveter haikubali hata ku convert ina Fail...
 
Msaada unahitajika jamani...
 
mda huu unasubir wataalamu,weka bando nenda googw ukasearch huwezi kukosa a,b,c kuhusu iyo virus Mkuu.
 
Wajomba nimepatwa na na kunipata sijui naanzia wapi ila ki ufupi kuna jamaa kaniotea huku kwenye computer yangu, ana encrypt files anazibadilisha to .MOIA extension.

Mfano nyimbo au video ya MP4 anaibadilisha to

Name.mp4.moia

Kasha encrypt 80% ya files zangu, nafanya biashara ya Movies so mnaweza pata picha files za 8TB ziko encrypted.

Hiyo ni external A external B yenye size 6TB napo nakutana na moia kila movie ninayoiendea...

Ki ufupi nina allmost 40TB zilizokua encrypted sijui nafanyaje ili kuzi decrypt hizi file?

nmejaribu ingia online nimejaribu software tofaut tofaut hasa hii ya decrypt_STOPDjvu ila wapi ina scan mwisho inaniambia

This file has online ID it is impossible to decrypt it..

Akili ime stuck halafu siku za majanga kama haya wateja ndio wanakuja kama mvua, nisaidieni mwenye solution ndugu zangu mniokoe na hili jahazi.

Atakae niokoa na huu msala sitomuacha hivi hivi nitamshukuru kwa kidogo kitakachokuwepo Nisaidieni ndugu zangu sielewi hapa, Ofisi naiona chungu leo.

Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
CONTROLA
IT Net Solution
ICT_student_TZ

Na wengine wote naomba msaada wenu wakuu.
Terabyte zote hizo ku encrypt si mchezo. My guess hakuna Encryption ya maana hapo ni kamchezo tu inafanya.

Umejaribu ku rename mafile na kutoa hio extension?

Mfano video.mp4.moia rename kuja video.mp4
 
Terabyte zote hizo ku encrypt si mchezo. My guess hakuna Encryption ya maana hapo ni kamchezo tu inafanya.

Umejaribu ku rename mafile na kutoa hio extension?

Mfano video.mp4.moia rename kuja video.mp4
Nmebaki nimeduwaa pia ku encrypt 40TB sio kitoto, kadai amejaribu ku rename but imekataa, me najiuliza kwani aliem-encryptia hizo files mpaka dakika hii hajajitokeza tu kumtaarifu kama anataka kulipwa au nini anataka kwa jamaa? Au atakua kirusi tu wa kawaida kaundwa kuharibu files za mtu pasipo faida.

Eti mtoa mada ukiboot/washa mashine hakuna ujumbe wowote unaopata? Au ukijaribu ku rename hizo files hupati notification ya pop-up message yoyote kukuomba pesa?
 
Wajomba nimepatwa na na kunipata sijui naanzia wapi ila ki ufupi kuna jamaa kaniotea huku kwenye computer yangu, ana encrypt files anazibadilisha to .MOIA extension.

Mfano nyimbo au video ya MP4 anaibadilisha to

Name.mp4.moia

Kasha encrypt 80% ya files zangu, nafanya biashara ya Movies so mnaweza pata picha files za 8TB ziko encrypted.

Hiyo ni external A external B yenye size 6TB napo nakutana na moia kila movie ninayoiendea...

Ki ufupi nina allmost 40TB zilizokua encrypted sijui nafanyaje ili kuzi decrypt hizi file?

nmejaribu ingia online nimejaribu software tofaut tofaut hasa hii ya decrypt_STOPDjvu ila wapi ina scan mwisho inaniambia

This file has online ID it is impossible to decrypt it..

Akili ime stuck halafu siku za majanga kama haya wateja ndio wanakuja kama mvua, nisaidieni mwenye solution ndugu zangu mniokoe na hili jahazi.

Atakae niokoa na huu msala sitomuacha hivi hivi nitamshukuru kwa kidogo kitakachokuwepo Nisaidieni ndugu zangu sielewi hapa, Ofisi naiona chungu leo.

Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
CONTROLA
IT Net Solution
ICT_student_TZ

Na wengine wote naomba msaada wenu wakuu.
Nmejaribu ku search YouTube nimeona ni kama ransomware mpya hivi make videos nyingi zinazomuelezea zime uploadiwa siku 6-7 ago, check videos nyingi kadri ya uwezo wako na imani utapata muongozo sahihi na utaokoa files zako mkuu..

 
Mleta mada naomba nikushauri kitu.

Biashara yako ni nzuri cha muhimu hapo nakushauri endapo utaweza kudecrypt file zako basi wekea PC yako "Dual OS" (Windows na Linux distro yoyote) maana Linux haiko targeted sana na watengeneza virusi kama ilivyo kwa Windows. Nikimaanisha kwamba pale panapokuwa na ulazima wa kutumia Windows unaswitch to Windows na kama hakuna ulazima tumia Linux.

Pia jaribu kurename faili zako to original extensions kama Chief alivyokushauri au ukopi zile ambazo hazijaguswa bado na ningependekeza ufanye hivyo kwa kutumia OS tofauti na Windows ili huyo jamaa asiendelee kuEncrypt hizo faili zako maana yuko kazini bado.

Sent from my cupboard using mug
 
Wajomba nimepatwa na na kunipata sijui naanzia wapi ila ki ufupi kuna jamaa kaniotea huku kwenye computer yangu, ana encrypt files anazibadilisha to .MOIA extension.

Mfano nyimbo au video ya MP4 anaibadilisha to

Name.mp4.moia

Kasha encrypt 80% ya files zangu, nafanya biashara ya Movies so mnaweza pata picha files za 8TB ziko encrypted.

Hiyo ni external A external B yenye size 6TB napo nakutana na moia kila movie ninayoiendea...

Ki ufupi nina allmost 40TB zilizokua encrypted sijui nafanyaje ili kuzi decrypt hizi file?

nmejaribu ingia online nimejaribu software tofaut tofaut hasa hii ya decrypt_STOPDjvu ila wapi ina scan mwisho inaniambia

This file has online ID it is impossible to decrypt it..

Akili ime stuck halafu siku za majanga kama haya wateja ndio wanakuja kama mvua, nisaidieni mwenye solution ndugu zangu mniokoe na hili jahazi.

Atakae niokoa na huu msala sitomuacha hivi hivi nitamshukuru kwa kidogo kitakachokuwepo Nisaidieni ndugu zangu sielewi hapa, Ofisi naiona chungu leo.

Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
CONTROLA
IT Net Solution
ICT_student_TZ

Na wengine wote naomba msaada wenu wakuu.

kama unatumia microsoft windows pole sana.ili kuzibiti hayo majanga tumiaga OS za linux kama ubuntu na n.k.
 
Wajomba nimepatwa na na kunipata sijui naanzia wapi ila ki ufupi kuna jamaa kaniotea huku kwenye computer yangu, ana encrypt files anazibadilisha to .MOIA extension.

Mfano nyimbo au video ya MP4 anaibadilisha to

Name.mp4.moia

Kasha encrypt 80% ya files zangu, nafanya biashara ya Movies so mnaweza pata picha files za 8TB ziko encrypted.

Hiyo ni external A external B yenye size 6TB napo nakutana na moia kila movie ninayoiendea...

Ki ufupi nina allmost 40TB zilizokua encrypted sijui nafanyaje ili kuzi decrypt hizi file?

nmejaribu ingia online nimejaribu software tofaut tofaut hasa hii ya decrypt_STOPDjvu ila wapi ina scan mwisho inaniambia

This file has online ID it is impossible to decrypt it..

Akili ime stuck halafu siku za majanga kama haya wateja ndio wanakuja kama mvua, nisaidieni mwenye solution ndugu zangu mniokoe na hili jahazi.

Atakae niokoa na huu msala sitomuacha hivi hivi nitamshukuru kwa kidogo kitakachokuwepo Nisaidieni ndugu zangu sielewi hapa, Ofisi naiona chungu leo.

Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
CONTROLA
IT Net Solution
ICT_student_TZ

Na wengine wote naomba msaada wenu wakuu.
Same thing hii just ni moja kati ya variants nyingi za DJVU ransomware, wakati encryption inafanyika ulikua offline au online?
 
Wajomba nimepatwa na na kunipata sijui naanzia wapi ila ki ufupi kuna jamaa kaniotea huku kwenye computer yangu, ana encrypt files anazibadilisha to .MOIA extension.

Mfano nyimbo au video ya MP4 anaibadilisha to

Name.mp4.moia

Kasha encrypt 80% ya files zangu, nafanya biashara ya Movies so mnaweza pata picha files za 8TB ziko encrypted.

Hiyo ni external A external B yenye size 6TB napo nakutana na moia kila movie ninayoiendea...

Ki ufupi nina allmost 40TB zilizokua encrypted sijui nafanyaje ili kuzi decrypt hizi file?

nmejaribu ingia online nimejaribu software tofaut tofaut hasa hii ya decrypt_STOPDjvu ila wapi ina scan mwisho inaniambia

This file has online ID it is impossible to decrypt it..

Akili ime stuck halafu siku za majanga kama haya wateja ndio wanakuja kama mvua, nisaidieni mwenye solution ndugu zangu mniokoe na hili jahazi.

Atakae niokoa na huu msala sitomuacha hivi hivi nitamshukuru kwa kidogo kitakachokuwepo Nisaidieni ndugu zangu sielewi hapa, Ofisi naiona chungu leo.

Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
CONTROLA
IT Net Solution
ICT_student_TZ

Na wengine wote naomba msaada wenu wakuu.
Mkuu pole sana kwa majanga uliyopata.

Hii kitu hata mimi ilishawai nitokea,mpaka sasa mwaka 1 umepita angalau extension yangu ilikuwa ni tofauti na hii yako.

Kazi yangu ilikuwa ni IT sehemu fulani hivi, sasa hapo kuna shared documents nyingi zinatoka sehemu moja,siku 1 majaa walinikamata kama wewe hivi, ndani wakaweka na text file inaelezea contact zao na kiasi cha pesa wanachoitaji kama unataka kudecrypt files zako.

In short hata kama wamekwambia uwalipe na gharama ndogo,ila majamaa siyo wa kweli hata kidogo, watu wengi hawashauri ufanye makubaliano nayo yeyote yale ya malipo, hata mimi sikufanya nao chochote kile zaidi ya ku-format na kuanza upya pamoja na kuongeza security measures upande wangu.

Kupata solution ya decrypt file zako, sikukatishi tamaa ila sidhani kama utafanikiwa, kwasababu hata mimi nilisumbuka sana kutafuta solutions, hata kuwa teyari kuwalipa wataalamu wa kibongo ila ilishindikana.
 
Back
Top Bottom