Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 5,042
- 9,652
Unapaka kwenye nywele na hata kwenye ngozi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mie nikajua oil za magari
Tsh 12000, nipo Ubungosh. ngapi? na upo wapi nifuate mwenyewe?
sawaTsh 12000, nipo Ubungo
Ukifika mitaa ya stend ya mwendo kasi nipigie
Ila kabla hujaanza safar nitaarifu
0714547830
invest what you are willing to lose
asanteTsh 12000, nipo Ubungo
Ukifika mitaa ya stend ya mwendo kasi nipigie
Ila kabla hujaanza safar nitaarifu
0714547830
invest what you are willing to lose
Karibuni Castro oil Kwa tsh 12000 na virgin avocado oil Kwa tsh 12000
Sabuni za avocado na Sabuni za Castro Kwa tsh 2500
Call 0714547830 Ubungo
Delivery ipo unachangia nauli
invest what you are willing to lose
Sio Castro ni Castor oil ndugu, mafuta ya mnyonyo (Ricinus commmunis), mazuri sana hayo hata kwa kulainisha choo, pia hutumika kama moja ya ingredient za artificial colostrum.Karibuni Castro oil Kwa tsh 12000 na virgin avocado oil Kwa tsh 12000
Sabuni za avocado na Sabuni za Castro Kwa tsh 2500
Call 0714547830 Ubungo
Delivery ipo unachangia nauli
invest what you are willing to lose
Asante sanaSio Castro ni Castor oil ndugu, mafuta ya mnyonyo (Ricinus commmunis), mazuri sana hayo hata kwa kulainisha choo, pia hutumika kama moja ya ingredient za artificial colostrum.
Haya nimeyapunguza harufu
Shukrani mkuu, najitahidi sana, au kama una sample naomba niangalie designsHongera kwa kuanzisha kiwanda
Jaribu kutengeneza packaging yenye mvuto hasa hizo box za sabuni kama unaelewa nilichoshauri ufanyie kazi otherwise SONGA MBELE
NO SWEET WITHOUT SWEAT!