Baba Wawili 2012
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 413
- 336
hivi watangazaji na waandishi wa starTv au sahara..media.je wanafanya haya ya kuyaelezea ya ccm tu na magufuli ni maelekezo ya tajiri wao au kupenda kwao waandishi.....yaani nimekuwa nafuatilia vpind vya siku nzima week yote hii haina tofauti na tbc program zao.. asubuhi vipi mara miradi ya barabara chamwino...mara kilimo...sijaona television iliyobuni umuhimu wa kuelimisha kupga kura kwa vijana na wananchi wengine...
cjui mnaonaje wadau
cjui mnaonaje wadau