Unaweza kujiuliza kama ulaya waliangamiza malaria ya Mbu sisi tunashindwaje?,Malaria ndio ugonjwa unaongoza kwa vifo na tunatumia billions of moneye kunua dawa na vifaa kwa ajili ya Malaria -sasa unajiuliza kwa nini fedha hizo tusizitumie kuua Malaria ya Mbu???