October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
LEO
Tuelekezane kidogo, kutokana na ugumu wa mtaji, ajira nk...
Hivi ukiwa na kihasi kama cha 300,000/= mpaka 400,000/= cash unawezaje/mishe gani utaifanya kui-Double muda wa miezi miwili tu Ikiwezekena kui-Dable tena miezi miwili nyingine tena yaani kwa kutumuia iyo 400,000/= uweze kuitengenez ma 1.2M kwa miezi minne(4) tu.
Sizungumzingii kuamzisha biashara bali thing like Hustle utayofanya bila ku-Settle itayozungusha fasta pesa.
Funguka hapa kitu unachoweza fanya, uliwai fanya, utamshauri mtu afanye Fast Rising Fund maana wengi wako na 100K, 200K ambapo sometimes wana Figureout sana akiri ina stack.
Tuelekezane kidogo, kutokana na ugumu wa mtaji, ajira nk...
Hivi ukiwa na kihasi kama cha 300,000/= mpaka 400,000/= cash unawezaje/mishe gani utaifanya kui-Double muda wa miezi miwili tu Ikiwezekena kui-Dable tena miezi miwili nyingine tena yaani kwa kutumuia iyo 400,000/= uweze kuitengenez ma 1.2M kwa miezi minne(4) tu.
Sizungumzingii kuamzisha biashara bali thing like Hustle utayofanya bila ku-Settle itayozungusha fasta pesa.
Funguka hapa kitu unachoweza fanya, uliwai fanya, utamshauri mtu afanye Fast Rising Fund maana wengi wako na 100K, 200K ambapo sometimes wana Figureout sana akiri ina stack.