Hii band ilikua na mission moja tu ambayo kimsingi ni kama imekamilika
Kumbomoa Jide...........
Jamaa walii promote kwa nguvu zote kama mbadala wa Machozi na wakapora mikataba kibao ambayo jide alikua ana perform
Matokeo yake Jide wa watu chaliiii
Na wao wametelekezwa