Vipi kuhusu ajira za REDCROSS

lolypop

JF-Expert Member
Jul 29, 2015
2,430
1,681
wadau vipi kuhusu ajira za redcross kuna yeyote aliyeitwa kwenye interview?
 
Location ilikuwa Moshi&manyara

Kama ulishafanya Usahili basi ni lazima watakupigia Simu au Barua pepe.
Lakini kama bado hujafanya usahili wewe nenda na vyeti vyako siku hiyo na nakushauri kwenye Curriculum Vitae (Mtaala) wako ujaze hata Uzoefu wako katika hizo shughuli za kijamii zinazoendana na Shirika la Msalaba Mwakundu.
Mwisho kabisa kuna mawili nikupe kwa kifupi,
Mosi, tembelea mtandao wao ujue ni nini wanafanya haswa. Ofisi zao nyingi zinaongozwa na Wakenya hivyo ni muhimu kujua.
Pili, jiongeze na wewe usiishie hapo tu. Ukifanya kazi Tanzania Red Cross Society(TRCS) na kumaliza jaribu kwenda International Committee for The Red Cross (ICRC).
Nakuahidi, huwezi jutia maamuzi yako.
 
Kama ulishafanya Usahili basi ni lazima watakupigia Simu au Barua pepe.
Lakini kama bado hujafanya usahili wewe nenda na vyeti vyako siku hiyo na nakushauri kwenye Curriculum Vitae (Mtaala) wako ujaze hata Uzoefu wako katika hizo shughuli za kijamii zinazoendana na Shirika la Msalaba Mwakundu.
Mwisho kabisa kuna mawili nikupe kwa kifupi,
Mosi, tembelea mtandao wao ujue ni nini wanafanya haswa. Ofisi zao nyingi zinaongozwa na Wakenya hivyo ni muhimu kujua.
Pili, jiongeze na wewe usiishie hapo tu. Ukifanya kazi Tanzania Red Cross Society(TRCS) na kumaliza jaribu kwenda International Committee for The Red Cross (ICRC).
Nakuahidi, huwezi jutia maamuzi yako.
yaan nilikuwa nataka kufahamu kama wameita watu kwenye interview au bado
 
nimemuona kwenye instagramu yule mwanamazoezi 'Zola' nini sijui ameitwa Mbeya kama ambassador..sasa sijui ndo hizo kazi au ni zingine
 
no! program managers

Kama umeshatuma maombi kati ya tarehe 12 February hadi 19 February ambayo ndiyo mwisho,
kama utakuwa umechaguliwa ndiyo watakujulisha wenyewe uende kwenye usahili.
Huo ndiyo utaratibu.
BTW, to be more precise TRCS is in search for the Project Manager and not program manager
 
Kama umeshatuma maombi kati ya tarehe 12 February hadi 19 February ambayo ndiyo mwisho,
kama utakuwa umechaguliwa ndiyo watakujulisha wenyewe uende kwenye usahili.
Huo ndiyo utaratibu.
BTW, to be more precise TRCS is in search for the Project Manager and not program manager
sawa nilidhani tayari wameita kumbe bado bado
ooh! yes ni project manager
 
Back
Top Bottom