Vipi BlackBerry inafunguliwa?

Ukwaju

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
13,370
11,090
Wajameni nisaidieni wajuzi nimingia mkenge au? nimeinunua Blackberry 1800 nikaambiwa original nimetafuta mtandao wa Internet bado unagoma eti nawajibika kulipia 35,000/= kwa mwezi kupitia vodacom
Mimi nimezoea hizi modem zetu za Huawei, za PC au kwenye Laptop sasa nimepata hiki kilongalonga nifungulieni wajuzi au nikiuze ?
 
Kwa voda ni 30000 @month Airtel 35000@month. Mi natumia Voda ni zaidi ya nyumba ndogo.
 
Huwezi kupata BB internet services bila kulipia hiyo mkuu... wala simu yako haina tatizo
 
Kwa voda ni 30000 @month Airtel 35000@month. Mi natumia Voda ni zaidi ya nyumba ndogo.


Kweli ni nyumba ndogo kwani 35,000/= bora niwanunulie wanangu nyama kilo 7 kwa mwezi wataniheshimu
mm uwezo wangu ni wa kusurf 700/= kwa tigo au 2,500/ kwa airtel
nisipopata msaada nakauza haka kalongalonga ka BlackBerry
 
elezea vizuri specification ya simu yako,ni pearl curve au storm,upate msaada,tunaweza kukufungulia.
 
Search humu jf kuna sredi inaeleza jinsi ya kutumia BB bila BBS kwa kuinstall opera mini, hii itakuwezesha kusurf net tu na downloading ndogo ndogo lakini hutaweza kuifaidi sana BB yako na application zake
 
tiGO 20000 kwa mwezi. 7000 kwa wiki. 4500 kwa siku tatu!
Mkuu sijakuelewa mm najua tigo kuna 700/= siku 3 standard na 450/= light siku 3 unasurf bila wasiwasi wala sio 7000/ kwa 4500/
 
elezea vizuri specification ya simu yako,ni pearl curve au storm,upate msaada,tunaweza kukufungulia.
cm yangu ni BlackBerry 1800 na ni pearl curve ikifika kwenye e-mail setup application anakuuliza if you want to use a work email account with BlackBerry Enterprises Server or you want to skip email setup na IMEI zake nitaku PM
 
Karibu BB mkuu....pole sana kama hukuwa wajua gharama zake ili uifaidi sawa sawa....
 
Kwanza ni kufahamishe hakuna blackberry model 1800 labda kama ulikuwa una maanisha Blackberry pearl 8100 kama ndiyo yenyewe ni PM kwa msaada zaidi
 
search humu jamii forums kuna thread niliandika ''nawezaje kutumia internet kwenye simu ya blackberry'',ina solution ndani yake,au andika blackberry internet kuna watu walipost maelekezo.
 
Wajameni nisaidieni wajuzi nimingia mkenge au? nimeinunua Blackberry 1800 nikaambiwa original nimetafuta mtandao wa Internet bado unagoma eti nawajibika kulipia 35,000/= kwa mwezi kupitia vodacom
Mimi nimezoea hizi modem zetu za Huawei, za PC au kwenye Laptop sasa nimepata hiki kilongalonga nifungulieni wajuzi au nikiuze ?

mkuu sahihisho akuna bb 1800 ebu tufafanulie
 
Back
Top Bottom