Huyu Jamaa amekuwa Bungeni miaka yote sijawai kumsikia akitoa hata sauti yake kwa ajili ya kutete Maskini wa nchni hii, ni watu wanao amini katika utu wao binafsi na kujenga familia zao huku mamia kwa mamia wakila taabu na wao wakila raha na watoto wao. Hana faida yoyote kwa Umma bali kwa familia yake pekee.
Ee Mwenyezi Mungu umuhukumu kwa kadri ya dhambi zake, maana umesema kila nafsi itaonja mauti, na iwe hivyo.