Nimetokwa na vipele vyekundu mgongoni vikubwa kidogo ghafla tangu majuzi..na vichache sehem ya tumbo ila sasa naona dalili vinaelkea kweny mapaja na homa usiku..kuna doctor nimemuulza nae hana uhakika ni nin kuna dawa kanielkeza nipake ila hii naon unahtaji vidonge..mwenye uelewa na hili