sawa tuu, kwani ct scan utashiba? utapanda kwenda ulaya? utahonga? kwani huduma za afya ni muhimu sana,?? ifikie mahali watanzania tuweze ku identify vipaumbele vya serikali yetu SIKIVU! au sio Zomba, Majebere,Ritz,Tume ya katiba,MAMA POROJO,Tume, maundumula and the like!