Vioo na frame zake vya salon natafuta

Vioo na frame zake vya salon natafuta

Mrekebishaji

Senior Member
Joined
Mar 19, 2009
Posts
168
Reaction score
63
Wana JF,
Je naweza pata wapi vioo vya salun na frame zake....vile vioo vya hadhi kubwa...mwenye kujua vinapatikana wapi nitashukuru
 
Hapa kuna vitu viwili unavyoongelea.
Kuna vile vioo ambavyo ni special na kuna vile ambavyo vinakuwa designed na watu wa Aluminum,yaani mafundi.
Sasa vyote hivyo ni vya hadhi kubwa.
Sasa sijui unataka vya wapi.
Kama ni vile vya Aluminium kama vilivyokuwa BM mwanzo basi tafuta fundi wa Aluminum atakupa hesabu yake na michoro yake.Maana hesabu inaendana na ukubwa wa kioo na frame
Na kama ni vile vya stand au ku fix vipande basi nenda Mjini Radium Salom Equipments hapo utakuta vurugu zote za vifaa vya salon maana ndio the best in Tanzania kwa vifaa vya salon.
Ila kwa muono wangu ni bora kutumia vile vya kudizainiwa na fundi wa Aluminum maana utachagua mchongo na aina ya ukubwa uitakayo,na pia ndio vioo pekee ambavyo unaweza ku fix vikajaa ukuta mzima na kuona salon ipo bomba.
 
Nashukuru sana sana kwa maoni, uliotoa ni msaada mkubwa;

1.Je naweza pata msaada wa mahali ilipo Radium Salon Equipment, ikiwezekana na mawasiliano yao kama unayo,
2.Je unamjua fundi yeyote mwenye michoro na anayejua kutengeneza, please kama una simu yake pia nitashukuru kupata.
 
Nashukuru sana sana kwa maoni, uliotoa ni msaada mkubwa;

1.Je naweza pata msaada wa mahali ilipo Radium Salon Equipment, ikiwezekana na mawasiliano yao kama unayo,
2.Je unamjua fundi yeyote mwenye michoro na anayejua kutengeneza, please kama una simu yake pia nitashukuru kupata.
 
Poa Mkuu,
Hawa jamaa wa radium salon equipments wapo town,kati wa mtaa wa swahili na matumbi,number zao ni
Main: +255 2181727
Fax: +255 2181727
Other: +255713608681
Other: +255787040312

We jitambulishe wakuelekeze mahali walipo,ni wahindi ila wapo fresh sana.

2)Fundi wa vioo vya salon ni fundi yoyote wa kutengeneza aluminium,we nenda kwa wale mafundi wanaotegengezea madirisha ya aluminium ndio hao hao wanaofanyahizo kazi.
Sina fundi maalum wa kazi hiyo,ila niliwahi kwenda pale maeneo ya Buguruni ndio fundi mmoja alinifanyia mie kazi yangu,ila miaka mingi sana,lakini ni hao hao mafundi wa aluminium za majumbani ndio wanaofanyakazi hizo
 
Back
Top Bottom