Mengine ni haya ;
6. cdm iache udini na ukabila kwenye chama
7. uongozi uwe ni wa wote sio watu wakutoka kaskazini tu,
8. mikutano ya cdm isiwe na jazba ambazo husababisha mauaji
9. maamuzi ya vikao yawe ya busara kuliko jazba ambapo itatu cost kwenye chama km yaliyotokea mwanza
10. waache kupata ufadhili wa kada wa ccm mr thabodo,
Wakuu endeleeni ntarudi tena........