mi nikiona kuna kiongozi anasema kasoma mzumbe, vyuo vya nje ya nchi, au open university huwa najua ana cheti tu ila hajawahi hudhuria darasani, kufanya research,desertation au thesis ya aina yoyote zaidi ya kununua cheti tu. Kuna wengine mapo wizarani,ukiomba fedha za research wanalazimisha umuandike ni research fellow ili aonekane kuna kitu anafanya mmojawapo ni mponda..