Jamani naona nchi yetu inatoka kwenye phase ya kamati kwa kamati sasa inaelekea Maandamano kwa maandamano, ushauri wangu viongozi wa aina zote wenye ushawishi katika Taifa letu ingilieni kati migogoro hii kabla hatujafika pabaya. Toeni kauli msikae kimya twaweza fika kubayaaaaa.