Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Yamesemwa sana nami nimeshuhudia.
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Monduli akihaha kutafuta vifaa kama maturubai kwa ajili ya kampeni za Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.
Je kama kiongozi wa Serikali ni halali kufanya Kazi hizo kwa Mgombea wa CCM pekee!?
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Monduli akihaha kutafuta vifaa kama maturubai kwa ajili ya kampeni za Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.
Je kama kiongozi wa Serikali ni halali kufanya Kazi hizo kwa Mgombea wa CCM pekee!?