Viongozi wa makanisa msitufukuze kanisani

Nimeyaona haya na Roman Catholic.
Mungu hayupo tena makanisani
Mambo mengine ni lazima hela itahusika tu, labda useme Kanisa litafute miradi. Mfano, cheti cha ubatizo, ni wapi uraiani utapata bure huduma ya printing?
 
Hamiq pentecoste Church au sabato hakuna mambo ya hivyo wasikuchoshe
 
Mambo mengine ni lazima hela itahusika tu, labda useme Kanisa litafute miradi. Mfano, cheti cha ubatizo, ni wapi uraiani utapata bure huduma ya printing?
Hiyo printing ya cheti cha ubatizo ndio inagharimu sh 30,000-50,000?
Kanisa lina njia nyingi za kukusanya michango sio hadi wasubiri event za ubatizo na Kipaimara ndio watoze pesa.
Kufanya hivyo lazima ilete tafsiri tofauti.
 
Ambao hawna hiyo 50000?acheni wizi kwa kisingizio cha dini.mkiona uchungaji haulipi tafuteni KAZI nyingine za kufanya sio kugeuza waumini mitaji.yesu alimsaidia Nani kwa masharti ya pesa?
 
Kanisa lina njia nyingi za kukusanya michango sio hadi wasubiri event za ubatizo na Kipaimara ndio watoze pesa.
Kufanya hivyo lazima ilete tafsiri tofauti.
Hayo mapato ya hizo njia nyingine, hayana matumizi mengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…