Hodi hodi wana jamvi,mm ni mwanajanvi mpya naomba mnipokee.nianze na viongozi wa cdm hapa mkoani kg tangu wachaguliwe hasa mwenyekiti wa Bavicha mr Beji ambaye pia ni meya wa manispaa ya h ya kg ujiji,huyu jamaa toka achaguliwe hafanyi Vikao wala kuhamasisha vijana kujiunga na chama yaani ubutu wake hana utofauti na panga la bibi,jamaa hajui chama kiko kwa vijana na hana mpango mkakati wowote wa kuimarisha chama hasa kupandikiza hisia zamabadiko kwa wana kg.Viongozi wa juu fatilieni haya.Kalibuni