Viongozi wa Afrika wapongezwa kwa mapambano dhidi ya COVID19

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti magonjwa (CDC) barani humo, Dkt. John Nkengasong amewasifu viongozi kwa kuunga mkono jitihada za pamoja kukabiliana na mlipuko huo

Amesema mikakati ya kuongeza upimaji, kuwafuatilia walio karibu na wagonjwa na kuvaa barakoa imeweza kupunguza visa vipya vya #CoronaVirus

Aidha, ameeleza kuwa uzoefu wa Afrika katika kupambana na magonjwa ukiwemo #Ebola umesaidia kufahamu namna ya kukabiliana na Virusi hivyo

Takwimu zilizotolewa na Shirika la Afya (WHO) siku chache zilizopita zimeonesha maambukizi mapya yamepungua kwa 12%

=====

The head of the Africa Centres for Disease Control (CDC) has praised African leaders for supporting a joint continental strategy to deal with the coronavirus pandemic.

John Nkengasong told the BBC's Newsday programme that public health initiatives on the continent, including increased testing, contact tracing and wearing of face masks, had led to a drop in new coronavirus cases.

The World Health Organization (WHO) previously said the Covid-19 outbreak in Africa may have passed its peak. On Monday it released fresh data that indicated Africa had reported a 12% drop in new virus cases.

Dr Nkengasong said:
Quote Message: Our numbers reflect the public health efforts and leadership as the continent has rallied around a joint continental effort scaling up testing and following up contact tracing and very importantly masking.
Our numbers reflect the public health efforts and leadership as the continent has rallied around a joint continental effort scaling up testing and following up contact tracing and very importantly masking.

Quote Message: This virus is in the community and without a strong community response and engagement there's no chance that we can fight and that is what we are doing.
This virus is in the community and without a strong community response and engagement there's no chance that we can fight and that is what we are doing.
He said the continent's experience with diseases like Ebola had helped countries to develop contact tracing measures that have helped in dealing with the coronavirus pandemic.

He said the early interventions put in place by different countries also helped in containing the virus.

BBC
 
WHO wanafiki sana hawa jamaa sijui hata kazi yao ni nini yaani ...

Si walisema Afrika tutakufa sana?
 
Back
Top Bottom