ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 329
Ndugu watanzania napenda kuwatahadhalisha wote mlokuwa na mpango wa kununua kifaa hiki hakifai hata kuigiliza.
Nina siku saba sasa nakitumia lakini toka juzi yaani siku 4 sasa hakioneshi channel hata moja.
Nimefika ofisini kwao leo mara baada ya kupiga simu yao bila mafanikio nkaambiwa eti mafuta yalikwisha ktk mnara na si punde wametuma mtu kuweka.... sambamba na hilo pia wakadai eti umeme nao unit zilikwisha.
Nawajuza hili hasa wana Mbeya kuweni makini mimi nimeingia MKENGE MWENZENU KITU NI MAGUMASHI HALISHILIKE.
Uliza bei yake sasa nimenunua 110,000yaani laki moja na elfu kumi shilingi.
Nasema huu ni utapeli jamani mtatuua watanzania.
Nina siku saba sasa nakitumia lakini toka juzi yaani siku 4 sasa hakioneshi channel hata moja.
Nimefika ofisini kwao leo mara baada ya kupiga simu yao bila mafanikio nkaambiwa eti mafuta yalikwisha ktk mnara na si punde wametuma mtu kuweka.... sambamba na hilo pia wakadai eti umeme nao unit zilikwisha.
Nawajuza hili hasa wana Mbeya kuweni makini mimi nimeingia MKENGE MWENZENU KITU NI MAGUMASHI HALISHILIKE.
Uliza bei yake sasa nimenunua 110,000yaani laki moja na elfu kumi shilingi.
Nasema huu ni utapeli jamani mtatuua watanzania.