Vincent Nyerere na Wenje waishangaza Musoma mjini leo

SIMU YA TOCHI

JF-Expert Member
Dec 12, 2014
1,384
892
Mkutano uliofanyika leo Musoma Mjini uwanja wa posta ukiongozwa na Kamanda Vincent Nyerere na mgeni wake kamanda Ezekiah Wenje ulikuwa wa aina yake kwa kweli mapokezi yalikuwa ya kutosha.

Kabla ya uchaguzi haujaisha tayari CHADEMA/UKAWA tumeshinda, Nyerere ni mbunge tena na Rais Lowassa.
 
Mathayo hana chake hapa musoma, kama alishindwa 2010 akaenda kuchukua madawati kwenye shule alizozipa msaada kwahiyo hafai kabisaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…