barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Jamaa katuingiza chaka tukijua ndo bei halisi.😀😀😀😀😀😀😀
Dah.
Jamaa katuingiza chaka tukijua ndo bei halisi.😀😀😀😀😀😀😀
0656119263Leta namba ya cm hapa
Haina compresafriji 100,000! zima?
Nmecheka nami nlikua sijajua kuwa muweka bei ni msaidizi ha ha haJamaa katuingiza chaka tukijua ndo bei halisi.
Dah.
Rahisisha kazi; weka na bei ya kila kitu hapa hapa. Kama ni negotiation zitafanyika.Nipo Dar tabata kimanga
Next time ukiweka biashara yoyote hapa weka na beiHuusiki hebu kuwa mstaarabu
Umetumwa?Next time ukiweka biashara yoyote hapa weka na bei
SawaRahisisha kazi; weka na bei ya kila kitu hapa hapa. Kama ni negotiation zitafanyika.
Huyo chinekeeee ndo katuvuta humu, kwa kuweka bei, tangazo lako lilikuwa shallow sana.
Ebu liweke sawa basi lijitosheleze.
Yeah,Rahisisha kazi; weka na bei ya kila kitu hapa hapa. Kama ni negotiation zitafanyika.
Huyo chinekeeee ndo katuvuta humu, kwa kuweka bei, tangazo lako lilikuwa shallow sana.
Ebu liweke sawa basi lijitosheleze.
sasa upunga wake nini? We ndio utakua punga huna hela kaa pembeniHuyo jamaa punga nimemwendea pm friji 300000
Jaman nieleweke bei ya Fridge ni laki tatu huyo aliyeandika laki moja ni mtu tu aliandika sababu mwanzon sikuweka bei hivyo vyote nimeshaweka beisasa upunga wake nini? We ndio utakua punga huna hela kaa pembeni
Laki 3 karibuFriji bei gani?
Nimeshawekabei vp
Tabata KIMANGA ila mawasiliano yapo hapoSasa unapatikanaje?? Kuna dogo anahitaji sofa nafikiri hilo litakuwa saizi yake. Uko wapi?
DarUko wapi? Mkoa.
NimeshawekaWeka bei ww simu tutamaliza vocha