Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,786
Russia itakuwa hoi bin taabani baada ya miaka 3 wakiwa kwenye hii vita . ACHANA na vita vya kuwekewa vikwazo vya uchumi. Kwa watu wanafikiria na ubongo watanielewa.
Kwa nini unadhania wewe ndiye mwenye maoni ya mbali kuliko wengine wenye mawazo tofauti? Angalia Cuba walivyowekewa vikwazo kwa miaka nenda rudi na mpaka sasa bado wanadunda tu. Urusi iko juu sana kulinganisha na Cuba. Vipi wenyewe ndio wawe hoi bin taabani baada ya miaka mitatu tu?Russia itakuwa hoi bin taabani baada ya miaka 3 wakiwa kwenye hii vita . ACHANA na vita vya kuwekewa vikwazo vya uchumi. Kwa watu wanafikiria na ubongo watanielewa na watu wanafikiria na ass hole watatoa povu tuu.
Cuba ni kweli wanadunda ila wapo hoi.Kwa nini unadhania wewe ndiye mwenye maoni ya mbali kuliko wengine wenye mawazo tofauti? Angalia Cuba walivyowekewa vikwazo kwa miaka nenda rudi na mpaka sasa bado wanadunda tu. Urusi iko juu sana kulinganisha na Cuba. Vipi wenyewe ndio wawe hoi bin taabani baada ya miaka mitatu tu?
Cuba wako hoi mkuu . Wanatumia gari za miaka ya 50 iliyopita mkuu .Kwa nini unadhania wewe ndiye mwenye maoni ya mbali kuliko wengine wenye mawazo tofauti? Angalia Cuba walivyowekewa vikwazo kwa miaka nenda rudi na mpaka sasa bado wanadunda tu. Urusi iko juu sana kulinganisha na Cuba. Vipi wenyewe ndio wawe hoi bin taabani baada ya miaka mitatu tu?
Mauzo Labda PUTIN amuuzie nyanya yake hayo MACHUMA yake ya miaka 60 iliyopita .Uchumi hujui hata ripoti za Mauzo au mapato hujui. Inflation rates hujui. Ila una anzisha mada usiyo na taaluma nayo!!
Wazungu sio wapuuzi mkuu wanajua kupambana na hali zao , sio vichwa lala kama hawa waafrika wanasubiria kutembeza bakuli Ulaya na USA . Wanajua kutafuta plan B . Russia atakuja kujutia bossTatizo bidhaa zake zinahitajika duniani sanasana nishati. Kungekuwa na mbadala shughuli yake ingekuwa imekwisha muda.
Wa kwetu unaanza kurudi nyuma kama kama gari lililokwama kwenye tope . Anzia mwenda zake aende naona umeme wameshaanza tena . Bila umeme ndio reverse mkuuNa vipi kuhusu uchumi wa Nchi ya Tanzania isiyo na vikwazo? Utakuwa kuliko russia yenye vikwazo ndani ya miaka 3.
Dua la kuku hilo. Gesi, oil na mbolea ni bidhaa adimu sana. Wajinga tu ndio wanaoweza kususia hizo bidhaa.Russia itakuwa hoi bin taabani baada ya miaka 3 wakiwa kwenye hii vita . ACHANA na vita vya kuwekewa vikwazo vya uchumi. Kwa watu wanafikiria na ubongo watanielewa.
Ngoja tuone mkuu. Muda utafika tuombe uhai.Wazungu sio wapuuzi mkuu wanajua kupambana na hali zao , sio vichwa lala kama hawa waafrika wanasubiria kutembeza bakuli Ulaya na USA . Wanajua kutafuta plan B . Russia atakuja kujutia boss
Kwani russia sio wazungu, pia na wao wanayo plan BWazungu sio wapuuzi mkuu wanajua kupambana na hali zao , sio vichwa lala kama hawa waafrika wanasubiria kutembeza bakuli Ulaya na USA . Wanajua kutafuta plan B . Russia atakuja kujutia boss
Ipi hiyo plan B?Wazungu sio wapuuzi mkuu wanajua kupambana na hali zao , sio vichwa lala kama hawa waafrika wanasubiria kutembeza bakuli Ulaya na USA . Wanajua kutafuta plan B . Russia atakuja kujutia boss
Uko sahihi. Urusi iki survive mwaka huu, mwaka ujao haushi itakuwa zaidi ya Somalia.Russia itakuwa hoi bin taabani baada ya miaka 3 wakiwa kwenye hii vita . ACHANA na vita vya kuwekewa vikwazo vya uchumi. Kwa watu wanafikiria na ubongo watanielewa.
Mbona anaye umia kutokana na vikwazo ni EU na USA?Russia itakuwa hoi bin taabani baada ya miaka 3 wakiwa kwenye hii vita . ACHANA na vita vya kuwekewa vikwazo vya uchumi. Kwa watu wanafikiria na ubongo watanielewa.
Unayajua maisha ya Cuba wewe?Kwa nini unadhania wewe ndiye mwenye maoni ya mbali kuliko wengine wenye mawazo tofauti? Angalia Cuba walivyowekewa vikwazo kwa miaka nenda rudi na mpaka sasa bado wanadunda tu. Urusi iko juu sana kulinganisha na Cuba. Vipi wenyewe ndio wawe hoi bin taabani baada ya miaka mitatu tu?