Vikao vya kuzimu

Kikao kikiendelea

Lucifer: Whoa whoa who the fvck farted in this glorious meeting?

All: Don't know

Subiani: It's always Makata this is Makata.

Makata: You fat fvck I didn't fart since last time stop b*tchin.

Lucifer: Sorry guys I think that'd be me, I slipped that one.


Subiani:
 
 
 
Lengo lako ni kumsema mzee baba pale ikulu. Shauri yako.
 
Hiyo hiyo ama ya mabonge
Kiongozi hiyo chumvi unaifanyaje ? Afu inakuondia na vitu gani ?afu nawezaje kujua kua nyota yangu imechezewa kichawi pia nawezaje kuirudisha ktk hali yake yakawaida msaada plz Mr Mshana jr
 
Kiongozi hiyo chumvi unaifanyaje ? Afu inakuondia na vitu gani ?afu nawezaje kujua kua nyota yangu imechezewa kichawi pia nawezaje kuirudisha ktk hali yake yakawaida msaada plz Mr Mshana jr
Ogea tu kawaida kwenye maji vingine kwakweli ni ngumu kujua ninini hasa umefanyiwa
 
OK sawa so labda nikisha oga kuna mabadiliko yoyote naweza kuyaona au
 
Mshana kweli nimejinza mengi kutoka kwako Mimi miongoni wa wafatiliaji wa mada zako ushauri wangu chapisha vitabu vinavyohusu mambo haya.
 
Mshana kweli nimejinza mengi kutoka kwako Mimi miongoni wa wafatiliaji wa mada zako ushauri wangu chapisha vitabu vinavyohusu mambo haya.
Asante sana ila muda unanibana sana
 
mshana unapotoa siri za kuzimu ujue shetani anawakwa na hasira kuu juu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…