Vikao vya kuzimu

 
Hawa -20 vs +80 ndio WATU WASIOJULIKANA Kumbeeee ok
Kuna kitu cha kutisha sana kinaendelea kimyakimya hapa nchini halafu kinasambaa kwa kasi, mauaji ya watu kwa style inayofanana.... Maiti nyingi hazina majeraha lakini zimefungwa kamba kwa mikononi na miguuni, nyingine zinatupwa majini na kufungwa mawe makubwa, pengine ili zizame
Unapotafakari hili kwa makini unaweza kuona kitisho cha dhahiri cha matokeo ya vikao vya kuzimu ambapo shetani baba wa udhalimu wote anachukua ushindi
Wakati mamlaka zikiendelea na taratibu zake kukomesha hii hali, wananchi nasi tuna jukumu letu kubwa, kuomba kusali na kukemea hili pepo la udhalimu, hii ni zaidi ya vita ya damu na nyama hii ni vita kubwa ya kiroho
 
Sijaelewa kabisa! Sijui ugali wa muhogo umeniathiri uelewa ama vipi.....bado pia sijaelewa....
 
Tiba ya chumvi kuogea ni kiboko ya yote
 
Shida yako mkuu unafahamu mengi ila unaleta mutasari tu kwa nini malizia basi
 
Hivi naomba niulize swali baada ya kufa tunaenda wapi hizi habari ukifanya mema kuna Mungu na mabaya unaenda motoni ni kweli au ni simulizi tu
Tukifa kuna sehemu mbili tofauti tunakwenda kutegemea matendo ya duniani 1 peponi 2 mangojeo peponi ni mahari pema na furaha na raha lakini mangojeo kuna baridi kali na kiu ya ajabu 1 wanasubili kukaa na mungu hao ni washindi 2 wanasubili muda utimu watiwe kwenye ziwa liwakalo moto pamoja na baba yao shetani
 
Mkuu unaweza kufafanua hayo masuala ya nafsi, fikra na roho!
 

Mungu na Iblis wanashindania nafsi ya mtu!
MUNGU ananguvu zaidi ya iblis,lakini hakulenga kumfanya binadamu aishi kidikteta! kampa uhuru wa kuchagua!(Free will) na hicho ndio kipimo cha imani!
 
Mshana wewe ni mtaalam wa mambo ya giza. ..na nuru hivi huwezi tuambia wasiojulikana walivaa nguo Gani na walikmbilia wapi baada ya unyama ule wa kumpga Mwanaharakat TL?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…