Vijue vipindi vya TBC1

Vijue vipindi vya TBC1

IHOLOMELA

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
1,807
Reaction score
1,677
Wale mliokuwa mnajifanya hamuangalii TBC1 sasa itakula kwenu!!! sasa inakubidi uwafahamu watangazaji wako mahiri, vipindi vya elimu kama:-
1. Zamadamu
2. Malenga wetu
3. Mkoa kwa mkoa
4. Utalii wa ndani
6. Kilimo chetu
7. Tanesco inavyoangaza maisha
8. Rudi nyumbani kumenoga
9. TEKNO KWANZA
10. Mtaalamu wetu
11. TODAY IS PERSPECTIVE (wale wapenzi wa lugha malkia lao hawataachwa mbali)
12. Safari ya Dodoma
13. Nyumba ya Jirani
14. MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI
15. Chereko
16. Ujenzi wa Viwanda
17.Tunatekeleza
18. Ubongo Kids
19. Mapishi
 
Hahahaaaaa tbc bn. Umesahau live za mzee baba.
 
Safi Sana tibisii sjaona kipindi cha kiboyaboya hata kimoja hapo, km wale mawingu eti wanakipindi kinaitwa tegua mtego sasa kinanisaidia vp ktk harakat zangu Za maisha
 
Kukaa na kuangalia TBC ni matumizi mabaya ya muda na Macho...trust me (labda uwe una element za mandondocha ya Lumumba)
 
Wale mliokuwa mnajifanya hamuangalii TBC1 sasa itakula kwenu!!! sasa inakubidi uwafahamu watangazaji wako mahiri, vipindi vya elimu kama:-
1. Zamadamu
2. Malenga wetu
3. Mkoa kwa mkoa
4. Utalii wa ndani
6. Kilimo chetu
7. Tanesco inavyoangaza maisha
8. Rudi nyumbani kumenoga
9. TEKNO KWANZA
10. Mtaalamu wetu
11. TODAY IS PERSPECTIVE (wale wapenzi wa lugha malkia lao hawataachwa mbali)
12. Safari ya Dodoma
13. Nyumba ya Jirani
14. MAZUNGUMZO BAADA YA HABARI
15. Chereko
16. Ujenzi wa Viwanda
17.Tunatekeleza
18. Ubongo Kids
19. Mapishi
Vya nini sasa
 
Haha kuna siku nilikuta mgeni wangu kaweka eti taarifa ya habari TBC, nikamwambia hii nyumba huwa hatuangalii hiyo TV. Badilisha kama huwezi zima. Alinielewa hata kama kwa shingo upande
 
Haha kuna siku nilikuta mgeni wangu kaweka eti taarifa ya habari TBC, nikamwambia hii nyumba huwa hatuangalii hiyo TV. Badilisha kama huwezi zima. Alinielewa hata kama kwa shingo upande
Hahaha ndio maana huwa spendi kuwa mgeni
 
Bora niangalie SpongeBob kuliko kupoteza muda wangu kuangalia Tbc
 
Hiyo no 8 kumbe ni kipindi cha hivo maana niliona kuna mdau kaandika hivo
 
TBC ina vipindi makini sana, ila sijui kwa nini havinivutii kuangalia, kwa graphics mbaya hatari, watangazaji wapo kienyeji enyeji sana, sauti mbovu, yani ndio TV channel mbaya TZ kundi moja na clouds na wasafi(japo hii sijawahi tumia hata dakika 1 kuiangalia but majina ya vipindi tu yanatosha tuoa majibu).
mwaka huu tutaona sana movies kama wameamua iwe hivyo, sio TBC hata iweje
 
TBC ni habari nyingine kabisa, zingine ni chuki za vyama tu.
 
Tbc nini nini kwanza kabla ya kujiuliza hivo vipindi vyake ni vya nini?
 
Back
Top Bottom