Vijana wenzangu tuache kuhonga kizembe!

Labda kama atakuwa anawamega hao alozaliwa nao maana nyege nayo ni sehemu ya matatizo yanayotatuliwa kwa pesa
 
Nawaasa vijana wenzangu,tufanye kazi kwa bidii na kuhifadhi fedha zetu ili ziweze kutusaidia ktk matatizo yetu yabaadae! Unampaje mwanamke fedha kizembe tena ambae hana mda naww! Et umempenda? N mama ako mzazi huyo au umezaliwa nae?? Ukiwa na shida anakusaidia nn zaidi ya kukucheka! Tubadilike jmn saiv ndo muda wa kumek..sasa ww jifanye kidume sana tutakutana uzeeni! Povu ruksa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuhifadhi hela ziweze kutusaidia Mbeleni/kesho/kujijenga kuuchumi nk...

Nakazia hapa.

Kinachowaumiza weng ni hapa kwenye kujitoa (forgone things), maana inajumuisha kumsaidia mtu kwa mali na hali ukitegemea ni wako pekee, alaf uje ugundue ana kucheat/hakuthamini.
Unaanza fikiria Muda na hela ulizopoteza...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuhifadhi hela ziweze kutusaidia Mbeleni/kesho/kujijenga kuuchumi nk...

Nakazia hapa.

Kinachowaumiza weng ni hapa kwenye kujitoa (forgone things), maana inajumuisha kumsaidia mtu kwa mali na hali ukitegemea ni wako pekee, alaf uje ugundue ana kucheat/hakuthamini.
Unaanza fikiria Muda na hela ulizopoteza...



Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake pasua kichwa! Vipusa hawa watu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kukaa bila kuhonga naweza kuumwa, yaani nimeshazoea kuombwa hela.
 
Back
Top Bottom