Tuhifadhi hela ziweze kutusaidia Mbeleni/kesho/kujijenga kuuchumi nk...Nawaasa vijana wenzangu,tufanye kazi kwa bidii na kuhifadhi fedha zetu ili ziweze kutusaidia ktk matatizo yetu yabaadae! Unampaje mwanamke fedha kizembe tena ambae hana mda naww! Et umempenda? N mama ako mzazi huyo au umezaliwa nae?? Ukiwa na shida anakusaidia nn zaidi ya kukucheka! Tubadilike jmn saiv ndo muda wa kumek..sasa ww jifanye kidume sana tutakutana uzeeni! Povu ruksa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili kama pofuu!!Hizi mada za wanaume kulalamika zimetawala sana,jibu langu siyo lazima kuhonga baki na pesa zako kwenye account ukajenge hekalu.
Zakuambiwa changanya na zako, unatushauri tusionge alafu wewe unahonga lengo lako uwe unakubaliwa alafu sisi tunakataliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Castle lite za moto tafadhaliiWaiter, mpelekee Bia 2 Tumpiche..
Point clear understood..
Sema Mzee baba, ni hiki kichwa kingne kikitaka kitu na ukakiacha kiamue, Dah! Majanga aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake pasua kichwa! Vipusa hawa watu!!Tuhifadhi hela ziweze kutusaidia Mbeleni/kesho/kujijenga kuuchumi nk...
Nakazia hapa.
Kinachowaumiza weng ni hapa kwenye kujitoa (forgone things), maana inajumuisha kumsaidia mtu kwa mali na hali ukitegemea ni wako pekee, alaf uje ugundue ana kucheat/hakuthamini.
Unaanza fikiria Muda na hela ulizopoteza...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa..kwa bandiko lako watakufata pm mkuu..ila ulipie tangazo!Mimi kukaa bila kuhonga naweza kuumwa, yaani nimeshazoea kuombwa hela.
povu kama loteHizi mada za wanaume kulalamika zimetawala sana,jibu langu siyo lazima kuhonga baki na pesa zako kwenye account ukajenge hekalu.