Vijana wazuiwa kujiunga na Shirika la Serikali kwa kuwa na Tattoo

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,026
1,621
Baadhi ya Vijana wamezuiliwa kushiriki katika zoezi la uajiri katika Shirika la Vijana la Serikali la National Youth Service (NYS) kwa sababu ya kuwa na michoro kwenye miili yao hata baada ya kuwa na Vigezo vya Kitaaluma na kufaulu mtihani wa Afya ya Mwili

Baadhi ya Vijana walioondolewa kwenye zoezi hilo walihoji uamuzi huo na kuwataka mamlaka kufikiria tena hatua hiyo, ambapo Shirika limeahidi kutoa taarifa mwishoni wa zoezi la Usajili

Kila Mwaka, Vijana takribani 30,000 wanasajiliwa na Shirika hilo na kufundishwa stadi mbalimbali zikiwemo za Kijeshi, Uhandisi, Mitindo na Ubunifu, Uongozi wa biashara, Uendeshaji wa Mitambo, Ujenzi na kujiandaa kwa masuala mengine ya kitaifa kama huduma katika vikosi vya Ulinzi, Ujenzi wa Taifa na kukabiliana na maafa.


...........


Some Kenyan youths have been locked out of the ongoing recruitment into the state youth agency for inscribing tattoos on their bodies.

Even though they met academic qualifications and also passed the physical fitness test to join the National Youth Service (NYS), they were found ineligible because of the body art.

Some of the disqualified youths questioned the decision to lock them out of the exercise simply because of their art and urged the authorities to reconsider the move.

Authorities did not immediately give reasons for the move but they promised to issue a statement at the end of the exercise, local media reported.

The NYS recruitment, which is taking place countrywide, began on Monday, and is seeking to net at least 15,000 recruits

Source: BBC
 
Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.

Halafu jamaa mtu poa tu.

Alikuwa anafanya kazi za web design.

Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.

Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.

Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.

Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.

Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
 
Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.

Halafu jamaa mtu poa tu.

Alikuwa anafanya kazi za web design.

Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.

Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.

Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.

Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.

Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
Umeongea kitu kizuri kuhusu kutoangalia external appearance ya mtu, ila kitu ambacho sikubaliani na wewe ni kutaka views/Norms zetu kama Africans ziwe sawa na wazungu(or maybe sijakuelewa nimekurupuka), hilo swala hapana mzee, angalia views zao zilipowafikisha, jamii zao zimeharibika, kutokuwa na clear-cut distinction between "Right" or "Wrong" ni mbaya sana.
 
Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.

Halafu jamaa mtu poa tu.

Alikuwa anafanya kazi za web design.

Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.

Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.

Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.

Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.

Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
Hata Biblia imekataza michoro kwenye mwili. Wachukue hao wapeleke huko US. Huku Afrika usennge huu hatuutaki
 
Umeongea kitu kizuri kuhusu kutoangalia external appearance ya mtu, ila kitu ambacho sikubaliani na wewe ni kutaka views/Norms zetu kama Africans ziwe sawa na wazungu(or maybe sijakuelewa nimekurupuka), hilo swala hapana mzee, angalia views zao zilipowafikisha, jamii zao zimeharibika, kutokuwa na clear-cut distinction between "Right" or "Wrong" ni mbaya sana.
Mwisho atashangaa hata tunavyokataa mashoga kwenye societies za Kiafrika. Hawa akina Kiranga wakishafika huko wanasahau Uafrika wao na ku adopt maisha ya kishenzi. Ndiyo maana tumekataa uraia pacha sababu ya cultural infiltration
 
Mkuu kwa Tanzania, ukichukua watu 10 waliochora tattoo, pengine 2 wakawa ni watu poa...

Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.

Halafu jamaa mtu poa tu.

Alikuwa anafanya kazi za web design.

Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.

Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.

Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.

Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.

Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
 
Umeongea kitu kizuri kuhusu kutoangalia external appearance ya mtu, ila kitu ambacho sikubaliani na wewe ni kutaka views/Norms zetu kama Africans ziwe sawa na wazungu(or maybe sijakuelewa nimekurupuka), hilo swala hapana mzee, angalia views zao zilipowafikisha, jamii zao zimeharibika, kutokuwa na clear-cut distinction between "Right" or "Wrong" ni mbaya sana.
Sijaongea kuhusu wazungu.

Nimeongea kuhusu kumthamini mtu kwa uwezo wake, si kwa anavyoonekana.

Ukishaanza kumuangalia nani mzungu na nani muafrika, unarudi kulekuke kwenye kosa la kumuangalia mtu anavyoonekana badala ya mambo anayoyafanya.
 
Mwisho atashangaa hata tunavyokataa mashoga kwenye societies za Kiafrika. Hawa akina Kiranga wakishafika huko wanasahau Uafrika wao na ku adopt maisha ya kishenzi. Ndiyo maana tumekataa uraia pacha sababu ya cultural infiltration
Nafikiri Kiranga hana baya kwa alichokisema, lakini anasahau kitu kimoja crucial sana, We are Africans and they are Europeans, tattoo sio mambo yetu, yes tuna tamaduni za kujichora tunapokuwa kweny sherehe za kitamaduni/kijadi lakini those aren't permanent.

Natamani Europe ibaki kuwa Europe, India ibaki kuwa India na Africa ibaki kuwa Africa.
 
Mkuu kwa Tanzania, ukichukua watu 10 waliochora tattoo, pengine 2 wakawa ni watu poa...
Sawa.

Wakatae hao watu nane kwa sababu si watu poa, sio kwa sababu wamechora tattoo.

Kwa sababu ukiwakataa waliochora tattoo, kuna watu poa wawili hapo wamechora tattoo na inawezekana wana vipaji vizuri tu utavikosa na uchumi utapwaya.

Hapo ndipo wenzetu wanapotuzidi.

Wanajua kuitumia human capital vizuri.
 
Nafikiri Kiranga hana baya kwa alichokisema, lakini anasahau kitu kimoja crucial sana, We are Africans and they are Europeans, tattoo sio mambo yetu, yes tuna tamaduni za kujichora tunapokuwa kweny sherehe za kitamaduni/kijadi lakini those aren't permanent.

Natamani Europe ibaki kuwa Europe, India ibaki kuwa India na Africa ibaki kuwa Africa.
Wamakonde wanajichora some of the most severe tattoos, usoni.

Wale si Waafrika?

Na point ya msingi bado ipo, mnaangalia sana muonekano wa watu kuliko undani wa watu, uwezo wa watu.

Very shallow way of thinking.
 
Mwisho atashangaa hata tunavyokataa mashoga kwenye societies za Kiafrika. Hawa akina Kiranga wakishafika huko wanasahau Uafrika wao na ku adopt maisha ya kishenzi. Ndiyo maana tumekataa uraia pacha sababu ya cultural infiltration
Kwa mtaji huu mtaendelea kuwa masikini kwa kutothamini vipaji vya watu na kuangalia muonekano wa nje wa watu.

Mtaibiwa sana na wezi wanaovaa suti nzuri wasio na tattoo, huku mkiwapigia makofi.

Uraia pacha wakatalieni hao wanaoulilia mimi natafuta uraia wa dunia nzima si uraia pacha. Usinidogoshe.
 
Na point ya msingi bado ipo, mnaangalia sana muonekano wa watu kuliko undani wa watu, uwezo wa watu.
Broo undani wa mtu unauonaje kwa mtu uliyekutana nae kwa muda mfupi, ujue una complicate mambo cause hata wewe, mimi na mtu mwingine yeyote huwaga tunaanza kum-define kwa external appearance kwanza.

Sasa Mfano, mtu aliyevaa "Kata-k" (kavaa suruali kwa kushusha matakoni) na mtu aliyevaa suruali yake safi kabisa kiunoni, hao watu utawa-define sawa??
 
Kuna siku nilikuwa naanza kazi sehemu US, nikamkuta jamaa ana tattoo kama mwili mzima, tena zile za marangirangi.

Halafu jamaa mtu poa tu.

Alikuwa anafanya kazi za web design.

Nikasema huyu mtu atakuwa na kipaji sana cha mambo ya design, halafu anayapenda sana mpaka kaamua kuufanyia mwili wake wote design za tatoo.

Na waajiri wake wamemuelewa na kumuajiri kwa kipaji chake, bila kujali anavyoonekana.

Hili ni moja kati ya mambo yanayotuangusha Africa. Tunaangalia nje mtu anaonekanaje kuliko uwezo wa mtu.

Matokeo yake, tunaacha kuchukua watu wazuri wenye vipaji ambao wana tattoo, tunakuja kuchukua wezi wasiojua kazi wanaojua kuvaa suti nzuri.

Halafu, tukishindwa kuendelea, tunashangaa kwa nini hatuendelei
Nakubaliana na wewe, mimi nimeshawahi kukutana na bosi C.T.O wa kampuni kubwa anatumia cocaine Berlin. Ukweli ni kwamba mazingira ya wazungu na sisi waaafrika ni vitu viwili tofauti. Mzungu anavuta unga na bhangi kwa sababu ya stress za kazi. Lakini muafrika anatumia madawa ili kupunguza machungu ya maisha. Hii inaappply pia katika tatoo mzungu anachora tatoo akiwa ana maana ya kuichora lakini Muafrika anachora tatoo ili kuinogesha mwili wake. Nadhani kuna umuhimu wa kufundisha philosophy hata katika shule za msingi. Ni vigumu mzungu kufanya kitu bila kukitetea na sababu zake. Lakini vijana wa kiafrika wanafanya vitu kwa kufuata mkumbo kama nyumbu.
 
Broo undani wa mtu unauonaje kwa mtu uliyekutana nae kwa muda mfupi, ujue una complicate mambo cause hata wewe, mimi na mtu mwingine yeyote huwaga tunaanza kum-define kwa external appearance kwanza.

Sasa Mfano, mtu aliyevaa "Kata-k" (kavaa suruali kwa kushusha matakoni) na mtu aliyevaa suruali yake safi kabisa kiunoni, hao watu utawa-define sawa??
Yani hujui watu wanavyoajiriwa kwa kuangaliwa uwezo, elimu, kufanyiwa interview oral na practical etc?

Mkuu,

Mtu anayevaa kata k anakaa backoffice hakutani na yeyote anafanya kazi yake ya web design ndiye top talent utamkataa halafu umuajiri mtu anavaa suti hajui hiyo kazi ya web design?
 
Nafikiri Kiranga hana baya kwa alichokisema, lakini anasahau kitu kimoja crucial sana, We are Africans and they are Europeans, tattoo sio mambo yetu, yes tuna tamaduni za kujichora tunapokuwa kweny sherehe za kitamaduni/kijadi lakini those aren't permanent.

Natamani Europe ibaki kuwa Europe, India ibaki kuwa India na Africa ibaki kuwa Africa.
Makonde chale ushawahi kuwasikia mkuu??
 
Back
Top Bottom