Jana ilikua siku ya ukimwi duniani utafuti ulio fanywa umeonyesha kwamba kila siku vijana wapatao 70 kuambukizwa na virusi vya ukimwi kila siku.
Wazazi wana shauriwa kukaa na watoto wao na kuwaeleza ukweli kuhusu hatari ya kujiamiana wakiwa bado umri haujatimia.
Umasikini kuporomoka kwa maadili na kuvunjika kwa ndoa ndo vyanzo vikuu vya vijana wadogo kupata virusi vinavya sababishwa ukimwi.
Wazazi wana shauriwa kukaa na watoto wao na kuwaeleza ukweli kuhusu hatari ya kujiamiana wakiwa bado umri haujatimia.
Umasikini kuporomoka kwa maadili na kuvunjika kwa ndoa ndo vyanzo vikuu vya vijana wadogo kupata virusi vinavya sababishwa ukimwi.