DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,676
- 81,663
Ukweli vijana wa siku wamefanikiwa sana zamani wazee wetu walikuwa wanaajiriwa au wanajiajiri lakini walikuwa wakiishi kimsoto msoto sana.
Lakini vijana wa siku hizi unawakuta wanamiliki nyumba hapa mjini pamoja na kumiliki mikoko ya maana huku kila weekend hawakosi kuchoma nyama.
Japo kuna vijana wengine ni msoto lakini baadhi yao wako vizuri kama hawa vijana ambao wamefanikiwa wakiamua kuwapiga tafu wenzio mambo yangekuwa bamba to bamba.
Lakini vijana wa siku hizi unawakuta wanamiliki nyumba hapa mjini pamoja na kumiliki mikoko ya maana huku kila weekend hawakosi kuchoma nyama.
Japo kuna vijana wengine ni msoto lakini baadhi yao wako vizuri kama hawa vijana ambao wamefanikiwa wakiamua kuwapiga tafu wenzio mambo yangekuwa bamba to bamba.
