Ni juzi tu mlikuwa mnaporomosha matusi mengine ya nguoni, na kumdhalilisha kwa uzee wake, kwa ugonjwa wake, wengine wakamdhihaki eti ana ugonjwa wa kujinyea. Leo Lowassa ni boss wenu mtaficha wapi nyuso zenu mtakapokuwa mnapishana naye kwenye korido za Lumumba na kumpelekea maji ya kunywa high table.
POLEPOLE
MAKONDA
Hizi ni siasa tu zisitutoe ufahamu tukatenda ya kumkufuru Mwenyezi Mungu aliyetuumba.
Haya sasa Fisadi Kuu limetua chumbani ni kazi kwenu kupeana zamu ya kulisafisha kwa dodoki hadi ufisadi uishe.
CC:
@Musukuma PolePole
FaizaFoxy Crimea cocochanel
MSAGA SUMU sheiza kipara kipya kabombe JINOME Jay One FPT KIBST YEHODAYA Wakudadavuwa jingalao MsemajiUkweli Lizaboni johnthebaptist Elitwege Masenu K Msuya thetallest Sir Khan
POLEPOLE
MAKONDA
Hizi ni siasa tu zisitutoe ufahamu tukatenda ya kumkufuru Mwenyezi Mungu aliyetuumba.
Haya sasa Fisadi Kuu limetua chumbani ni kazi kwenu kupeana zamu ya kulisafisha kwa dodoki hadi ufisadi uishe.
CC:
@Musukuma PolePole
FaizaFoxy Crimea cocochanel
MSAGA SUMU sheiza kipara kipya kabombe JINOME Jay One FPT KIBST YEHODAYA Wakudadavuwa jingalao MsemajiUkweli Lizaboni johnthebaptist Elitwege Masenu K Msuya thetallest Sir Khan