Vijana Wa LuMumba Bhanna

Vijana Wa LuMumba Bhanna

MERCENARY2015

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2014
Posts
399
Reaction score
284
Leo vijana wenzetu sijui wamepewa kiasi gani?!,maana mitandaoni wamejaa wanatetea Uteuzi wa Mafisadi wa Escrow,TRA, TPA,etc lakini fresh tu si mmepewa hela nyie kuleni tu lakini ukweli utahubiriwa Tu
 
Leo vijana wenzetu sijui wamepewa kiasi gani?!,maana mitandaoni wamejaa wanatetea Uteuzi wa Mafisadi wa Escrow,TRA, TPA,etc lakini fresh tu si mmepewa hela nyie kuleni tu lakini ukweli utahubiriwa Tu

Unajaza server kwa kuanzisha thread ya kijinga kama hii
 
Leo vijana wenzetu sijui wamepewa kiasi gani?!,maana mitandaoni wamejaa wanatetea Uteuzi wa Mafisadi wa Escrow,TRA, TPA,etc lakini fresh tu si mmepewa hela nyie kuleni tu lakini ukweli utahubiriwa Tu

Pumbavu kwanini hukuanza na jambazi Lowassa
 
Uteuz wa mafisadi au co,, je ukawa waliomteua fisadi kugombea urais mbona husemi
 
Bavicha bhana, leo ndo mnakumbuka kuna kitu kinaitwa ufisadi! Hovyo kabisa!
 
Back
Top Bottom