Vijana Wa Kiume Forum

At Calvary

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
4,557
Reaction score
3,628
Habarini Vijana Wenzangu.

Nimeamua kuanzisha uzi uwe maalumu kwa ajili ya vijana wa kiume ili tuweze kushauriana kuhusu mambo mbali mbali yanayotukabili sisi vijana katika nyanja mbalimbali za maisha.

Tuweze kushauriana katika masuala kama kazi, mahusiano, elimu na mengine mengi kama yanayotuhusi vijana.

Mnakaribishwa kwa moyo mkunjufu muweze kuchangia ili vijana tuweze pata ujuzi kupitia huu uzi.
Hata watu wengine mnakaribishwa kuchangia ili kudumisha ustawi wa vijana tuweze kusonga mbele kwenye jamii zetu.

Naomba kuwasilisha.
 
Acha ubaguzi na vijana wa kike waende wapi?
 
Kwa kuwa uzi unahusisha vijana wa kiume wacha tuzugumzie mambo ya vijana wa kiume.

Ni siku gani nzuri kwa kubeti aiseee???
Maana nasikia kuna siku ukiweka mzigo mkekani ni nuksi tu, lazima ulambwe salio hata kama factors zote zinaonesha utapiga.
 
Nina mademu wanne sasa nashindwa nimchague yupi kila mmoja Ana sifa yake inayonivutia.nizingatie vitu gani
Wawili Wana kazi wawili hawana kazi
Afu hao wawili ambao hawana kazi nimebahatika kuwatoa bikra na wananijali sana
 
Acha ubaguzi na vijana wa kike waende wapi?
Sio ubaguzi mkuu,
bali lengo langu ni kuwasaidia vijana hasa wa kiume tuweze kukabiliana na changamoto za kimaisha.
kwa maana sisi tukiweza kuwa vizuri itakuwa rahisi kwa sisi kuwawezesha na wao. ni hivo
Lakini sio mbaya na wao wanakaribishwa wanaweza wakawa na mchango mzuri kwa vijana wakiume. akhsante
 
Nina mademu wanne sasa nashindwa nimchague yupi kila mmoja Ana sifa yake inayonivutia.nizingatie vitu gani
Wawili Wana kazi wawili hawana kazi
Afu hao wawili ambao hawana kazi nimebahatika kuwatoa bikra na wananijali sana
Mh!
 
Kwa kuwa uzi unahusisha vijana wa kiume wacha tuzugumzie mambo ya vijana wa kiume.

Ni siku gani nzuri kwa kubeti aiseee???
Maana nasikia kuna siku ukiweka mzigo mkekani ni nuksi tu, lazima ulambwe salio hata kama factors zote zinaonesha utapiga.
moyes
 
Nina mademu wanne sasa nashindwa nimchague yupi kila mmoja Ana sifa yake inayonivutia.nizingatie vitu gani
Wawili Wana kazi wawili hawana kazi
Afu hao wawili ambao hawana kazi nimebahatika kuwatoa bikra na wananijali sana
Bikra sio issue look into who has future
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…