Baada ya vurugu za Igunga kuonyesha mwelekeo wa CCM na kuonyesha nia ya Nape ni kuangamiza vijana wanaotafuta haki yao. Vijana sasa hivi hawatakubali kuvumilia upumbavu huu wa kuuwawa bila sababu eti sababbu ni itikadi ya siasa. Hao ccm watalia wenyewe huko mitaani.