Vijana wa CHADEMA Arusha wagoma kushiriki maandamano kuhusu suala la Mbowe

Rubbish.Vuvuzera za Lumumba hizo
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Wangekuwa wanachadema halisi jeshi la polisi lisingewapa muda wa kujipiga selfie, wangesambalatishwa kama wafanyiwavyo wanachadema kama ilivyotokea Dar, Mbeya, Mwanza, Kagera na Didoma, ni wakati jeshi la polisi likiratibiwa na CCM wabadili mbinu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…