Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,499
Vijana wa Chama cha Mapinduzi Mbunge wa Jimbo la Kawe, wamvaa Askofu Josephat Gwajima kwa kauli zake za kulaani vikali vitendo vya utekaji vinavyoripotiwa kuendelea nchini Tanzania, na kuhusu viongozi wa Serikali na Chama.