Vijana walioneshwa na kusikika kwenye vyombo mbalimbali vya habari jana wakipinga UKUTA tokea Arusha ni feki na waliandaliwa na CCM.
Ukweli ni kwamba propaganda za CCM tumeshazowea hata kipindi cha uchaguzi waliwapa vijana hadi tisheti za chadema ili waandamane kupinga ujio wa Lowasa na kumtetea Slaa.Vijana wengi wa Kitanzania sasa hivi wanajielewa.Arusha kwenyewe CCM walipata kata moja tu sasa leo hii wanawakusanya wanachama wao wachache wana wahoji kwamba eti ni watu wa Arusha. Propaganda feki hizo siku hizi tunajua sana, mbadili style nyingine.AIBU SANA
Ni aibu CCM kuwa waigizaji wa kisiasa na kuwakodisha wanachama wao na kuwahoji na hiyo ndio kazi inayofanywa na TBC CCM,Star tv ccm,Uhuru ccm nk.Wanawatembelea WananCCM wakiwa wamesha andaliwa sehemu maalum halafu wanahojiwa, kinachofata hapo ni hitimisho kwamba Wananchi wa Arusha au eneo fulani wamesema hivi.
Siasa uchwara ndio hivyo.Mfano yule Katibu wa CDM Mwanza alisimamishwa Kazi, Lkn CCM wanaikuza ili wananchi wengine washawishike kuiamini CCM.Wanao amini CCM wengi ni wanafiki,Waongo,Wasaliti nk, Siwezi nikaiamini CCM hadi nife na ukifa Ukiwa CCM ni dhambi kubwa sana kwasbb unakufa ukiwa mwongo,mwoga,mnafiki na mwenye kila aina ya uovu, mfano viongozi wengine wa CCM ni wanyang'anyi,wanyanyasaji,waporaji,wauaji.
Baada ya kumaliza maigizo ya Polisi ccm,Wasanii njaa CCM,Wanawake CCM,Vyama vya upinzani CCM(UDP,TLP nk),Mwanasheria mkuu CCM nk sasa hivi wamekuja na ile ya kutembelea mikoa,,jana walifanya Arusha siku si nyingi wataonesha Mbeya au Dar
CCM ACHENI UBABAISHAJI,MSIWALAZIMISHE WATU KUIPENDA SERIKALI.
Ukweli ni kwamba propaganda za CCM tumeshazowea hata kipindi cha uchaguzi waliwapa vijana hadi tisheti za chadema ili waandamane kupinga ujio wa Lowasa na kumtetea Slaa.Vijana wengi wa Kitanzania sasa hivi wanajielewa.Arusha kwenyewe CCM walipata kata moja tu sasa leo hii wanawakusanya wanachama wao wachache wana wahoji kwamba eti ni watu wa Arusha. Propaganda feki hizo siku hizi tunajua sana, mbadili style nyingine.AIBU SANA
Ni aibu CCM kuwa waigizaji wa kisiasa na kuwakodisha wanachama wao na kuwahoji na hiyo ndio kazi inayofanywa na TBC CCM,Star tv ccm,Uhuru ccm nk.Wanawatembelea WananCCM wakiwa wamesha andaliwa sehemu maalum halafu wanahojiwa, kinachofata hapo ni hitimisho kwamba Wananchi wa Arusha au eneo fulani wamesema hivi.
Siasa uchwara ndio hivyo.Mfano yule Katibu wa CDM Mwanza alisimamishwa Kazi, Lkn CCM wanaikuza ili wananchi wengine washawishike kuiamini CCM.Wanao amini CCM wengi ni wanafiki,Waongo,Wasaliti nk, Siwezi nikaiamini CCM hadi nife na ukifa Ukiwa CCM ni dhambi kubwa sana kwasbb unakufa ukiwa mwongo,mwoga,mnafiki na mwenye kila aina ya uovu, mfano viongozi wengine wa CCM ni wanyang'anyi,wanyanyasaji,waporaji,wauaji.
Baada ya kumaliza maigizo ya Polisi ccm,Wasanii njaa CCM,Wanawake CCM,Vyama vya upinzani CCM(UDP,TLP nk),Mwanasheria mkuu CCM nk sasa hivi wamekuja na ile ya kutembelea mikoa,,jana walifanya Arusha siku si nyingi wataonesha Mbeya au Dar
CCM ACHENI UBABAISHAJI,MSIWALAZIMISHE WATU KUIPENDA SERIKALI.