Napenda kujibu threads kama ifuatavyo!
1. Sera nying za ajira hupitiswa na wanasiasa je tusipowachagua waaminifu mambo yatakuwaje
( ni yupi mwanasiasa aliye mwaminifu na mwadilifu? mwananchi mzalendo ni yule anayewajulia hali jamii inayomzunguka kila siku na kwa wale walio na shida anawasaidia hata kama sio kiongozi,mimi na wewe tunafanya hivyo?.
je? tunatumia vigezo gani kuwachagua viongozi?)
2. Unapodai upinzan hauwez na kuwa lao 1 je chama kipi unapendekeza
( hakuna chama ninachopendekeza kwani wote mwisho wa siku wanajipendelea wao na family zao mimi na wewe tunakumbukwa wakati wa kura,wenye shida siku zote ni mwananchi wa hali ya chini ambaye ni mimi na wewe)
3. Si kwel kuwa wanasiasa lao ni 1,kwani serikal ya ccm imekuwa ikipewa ushauri na upinzan na kuudharau mfano (je hao unaowaita wapinzani wanatokea wapi kama sio chama tawala?na je wao walikifanya kipi bila ya kushirikisha media ili na wao wapate jina? mwalimu yule yule darasa ndio tofauti)
a-kuwakamata mafisad badala yake wanawaomba kurudisha fedha (sote tunajua kuwa viongozi wamejilimbikizia mali za umma,wawe chama tawala na hata hao wapinzani,hakuna aliye dhahir kuanika mali zake)
b-kubadil mfumo wa elim ili elimu imsaidie kijana kujitegemea lakn umeona nin wanakifanya (anaye isema serikali mwenyewe anawasomesha wanae nje...wao wanafanya nini kubadili mfumo huo kama sio kuwaumiza kwa kuwaweka juani na kuwahimiza maandamano yasiyo na maana?huku wakianza kupigwa vijana wao wanakimbia,na wakipelekwa polisi,mwanasiasa anapelekwa chumba maalum,huku kijana asiye na hatia anapelekwa sero tena kwa kipigo,.kwanini isiwe viongozi ndio wanaokamatwa na kuwajibishwa?na lini ulishawahi sikia mwanasiasa kapigwa risasi na kuuawa?
c-kutatua migogoro ya ardhi badala yake ccm wanawapa wawekezaji maeneo ya wazawa (fuatilia record yao kama hutokuta na wao wana Ardhi kibao,kama hajaandika jina lake basi la mwanae au ndugu yake)
d-kuwakopesha zana za kilimo wananchi,utazame mpango wa kilimo kwanza waliokopeshwa ni wakina nani
e-n.k (ukichunguza kwa undani kabla ruzuku haijaja kwa wanachi wao wote huanza kuwezeshana,fuatilia wanasiasa wote hakuna maskini kama mimi na wewe mwenzangu)
sio lazima uwe mwanasiasa au kiongozi ndio uweze kutoa msaada,hata mimi na wewe tunaweza....tuamke na kufanyia kazi masuala yetu wenyewe na sio mpaka ushinikizwe na mwanasiasa....
5-serikal imekuwa ikipinga sera,hoja na mapendekezo mengi ya upinzan kuhusu vijana na ajira (serikali ni mimi na wewe ndugu yangu wala sio wanasiasa, lini uliamka kijana mwenzangu na kuamua kwenda kwa kiongozi wako kama Diwani na kumuuliza alichofanya bila ya kushinikizwa na yeyote?)
6-je tusipojihusisha na siasa nani atuamulie?(tujiamulie sisi wenyewe na sio wanasiasa,hivi mwanasiasa anajua shida zako kiasi gani?) Tusipige kura,?(tunapige kura ila sio kwa ahadi za mdomo maandishi yawepo)
Je tukipiga tutawatambua vp wenye nia njema bila ushiriki wetu,(kiongozi ni wa kutoka jamii yetu na sio mambo ya kuletewa na chama )
7. Vipi tukiwapigia kampen au kuacha lipi litamfanya mwanasiasa awakumbuke wananchi (kabla ya mwanasiasa kuwakumbuka wananchi,ni muhimu sisi wenyewe kukumbukana)
8.tujitume kutafuta walio bora tusitumike...