Vijana tuamke, tusitumike

Vijana tuamke, tusitumike

Papaa Muu

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2018
Posts
243
Reaction score
292
Watanzania hasa vijana tuamke. Habari za kupewa pipi na peremende zisituangushe na kuisaliti nchi yetu.

Majuzi hapa (tarehe 11/06/2019) nilihudhuria Mkutano wa Taasisi ya Tanzanian Youth Vision Association (kwa kifupi huitwa *TYVA*) uliofanyika katika hoteli ya Tiffany DSM. Hao jamaa bwana ni matapeli sana. Walituandalia mkutano wa kujadili bajeti ya Taifa.

Cha ajabu na ndio maana niliamua kusepa zangu ni nilipogundua mle ndani ni upuuzi mtupu yani ni full kutumwa na mabeberu. Sikuwaelewa kwa nini wanatulazimisha vijana wa Tanzania kuandaa mikakati ya kuipinga serikali yetu.

Nimevumilia tangu siku niliachana nao katika kikao ila koromeo limeniuma sana na hii taasisi ikibisha haitumiki ntaeleza mpaka hela mnakozitoa. Shubamiti nyie.
Political Jourist,
University of Dodoma
 
Watanzania hasa vijana tuamke. Habari za kupewa pipi na peremende zisituangushe na kuisaliti nchi yetu.

Majuzi hapa (tarehe 11/06/2019) nilihudhuria Mkutano wa Taasisi ya Tanzanian Youth Vision Association (kwa kifupi huitwa *TYVA*) uliofanyika katika hoteli ya Tiffany DSM. Hao jamaa bwana ni matapeli sana. Walituandalia mkutano wa kujadili bajeti ya Taifa.

Cha ajabu na ndio maana niliamua kusepa zangu ni nilipogundua mle ndani ni upuuzi mtupu yani ni full kutumwa na mabeberu. Sikuwaelewa kwa nini wanatulazimisha vijana wa Tanzania kuandaa mikakati ya kuipinga serikali yetu.

Nimevumilia tangu siku niliachana nao katika kikao ila koromeo limeniuma sana na hii taasisi ikibisha haitumiki ntaeleza mpaka hela mnakozitoa. Shubamiti nyie.
Political Jourist,
University of Dodoma
Utakua hua unafirw. wew beberu ni mwenyekit wako punga nguruwe wewe.
 
Watanzania hasa vijana tuamke. Habari za kupewa pipi na peremende zisituangushe na kuisaliti nchi yetu.

Majuzi hapa (tarehe 11/06/2019) nilihudhuria Mkutano wa Taasisi ya Tanzanian Youth Vision Association (kwa kifupi huitwa *TYVA*) uliofanyika katika hoteli ya Tiffany DSM. Hao jamaa bwana ni matapeli sana. Walituandalia mkutano wa kujadili bajeti ya Taifa.

Cha ajabu na ndio maana niliamua kusepa zangu ni nilipogundua mle ndani ni upuuzi mtupu yani ni full kutumwa na mabeberu. Sikuwaelewa kwa nini wanatulazimisha vijana wa Tanzania kuandaa mikakati ya kuipinga serikali yetu.

Nimevumilia tangu siku niliachana nao katika kikao ila koromeo limeniuma sana na hii taasisi ikibisha haitumiki ntaeleza mpaka hela mnakozitoa. Shubamiti nyie.
Political Jourist,
University of Dodoma
Pumbavu! Unaabisha hicho chuo!
 
Mleta mada huko kwenye hicho kikao walikuambia uipinge serikali kwa misingi/sababu zipi haswa?
 
Mleta mada anapenda vya dezo huyu.Pambanua akili yako mzee baba acha kulaza kichwa.
 
Hizi ID mpya za kina jingalao hazitupi shida hapa mjengoni
 
Hiyo taasisi imekosa watu wa kujadili bajeti adi na wewe ukaitwa? kweli nchi imefika point of no return.
 
Mkuu..
Wapuzee hawa wapuzii wanaokesha mitandaonii, Kiujumla haya ma tasisi ya mabeberu ni yakipuzi na wengi wapuzi wanayashabikia wakidhani yanawasemea..

Yapo mengi sana ma tasisi ya aina hii lakini serkali makini inayatambua vema, wacha tuu siku yao utawadia na hawata amini kua awamu hii ya5 sio yakujaribiwa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom