Vijana someeni kazi acheni mambo mengi

Richmoto Kushmoto

JF-Expert Member
Jan 18, 2021
549
557
2015 nilimaliza form 4 pale Kawe Ukwaman sec Skuli nikaperform vizuri mshua akasema niende Advance maana result zilikuwa bomba Nikasema nipe hiyo Ela niende Veta Iringa mshua akatia ngumu mimi msimamo ukabaki pale nataka kwenda akaniuliza kusoma
nikamjibu umeme wa viwandani fresh mzee akanipa mtonyo nikafly mpaka Home kwenyewe kwa Mkwawa nikakuta hii kozi haipo nikachagua mechanics (ufund magar) ingawa hii kozi kuisoma nayo pasua kichwa walah fresh nikakomaa na spana zangu ila nisikufiche tu veta hakuna practicat kuna theoritical praticsl ipo kitaa gereji na workshop za makampuni kama pale azam na mo na wengineo.

ikumbukwe veta nimeingia 2017-2018 so baada ya kumaliza niliingia kutafuta sehemu niongoze ujuzi nikakomaa mpaka leo hii inshallah nimepata sehemu pakupata ugari.

Kipindi hicho vijana wa chuo wakiona tumetinga uniform zetu za veta wanatuchukulia poa mainjinia

VIJANA SOMEENI KAZI ACHENI MAMBO MENGI

Mechanics for life
 
hongera sana ata mimi ninao mfano kama wako...mdogo wangu aliacha shule kidato cha tatu...akajiunga na gereji...miaka 12 iliyopita mimi nilikomaa kusoma hivi sasa dogo ni fundi na ni dereva mkubwa tu wa mabasi...na ndio tegemeo langu kubwa...nina elimu sina kazi...hadi na mimi nimeamua kurudi veta na kuangalia kozi itakayo nifaa...

maisha kweli hayana usawa kabisa
 
Degree za bongo ni utopolo mtupu, tena wazazi wengi wangestuka ni kuwekeza kwenye fani tu, lakini kwingine huko hakuna kitu
Kabisa ttizo wazzi we2 wana amini ukifkia mbali kielimu wanaona utkuwa na maisha mazur
 
hongera sana ata mimi ninao mfano kama wako...mdogo wangu aliacha shule kidato cha tatu...akajiunga na gereji...miaka 12 iliyopita mimi nilikomaa kusoma....hivi sasa dogo ni fundi na ni dereva mkubwa tu wa mabasi...na ndio tegemeo langu kubwa...nina elimu sina kazi...hadi na mimi nimeamua kurudi veta na kuangalia kozi itakayo nifaa...

maisha kweli hayana usawa kabisa
Ujinga mtupu kumfananisha dereva au fundi na graduate wa degree.
 
Degree za bongo ni utopolo mtupu, tena wazazi wengi wangestuka ni kuwekeza kwenye fani tu, lakini kwingine huko hakuna kitu
Mkuu Umeongea point ingawa wanahisi tunawachukia atuwachukii wala nn imagine wewe umesomea uchumi na sasaiv mambo hayasomeki so mjichanganye hawa watu mnawaona wanachomelea wanamaisha sema tatizo mafundi tuko live sana
 
hongera sana ata mimi ninao mfano kama wako...mdogo wangu aliacha shule kidato cha tatu...akajiunga na gereji...miaka 12 iliyopita mimi nilikomaa kusoma....hivi sasa dogo ni fundi na ni dereva mkubwa tu wa mabasi...na ndio tegemeo langu kubwa...nina elimu sina kazi...hadi na mimi nimeamua kurudi veta na kuangalia kozi itakayo nifaa...

maisha kweli hayana usawa kabisa
Fact. mzee Ukiotea Kwenye hizi fani aha unaishi kizungu yaani
 
Kama ni kuotea basi sawa! Ila fahamu tu kama ni kuotea kuna graduates sio wameotea tu, yaani wanapunga upepo hadi kero!
Hapo nimemaanisha ukila shavu kwa makampuni makubwa mzee mfano GALCA NA AZAM ila Ukisomea ufundi unaweza jiajiri au ajiriwa inategemea na fani yako na ukichangaka ukosi mchongo mishentown
 
.
IMG_20210901_215653.JPG
 
Kuna la kujifunza apo japo sio lazima wote tupite the same way ntashare story yangu, Nilizingua form four nkaenda Veta wenzangu walienda advance na baadae vyuo vikuu wakasomea Ualimu na wengine Course za sanaa vyuo mbalimbali leo wanasota mtaani zaidi ya miaka nane sasa wapo wapo tu na tittle zao za graduates
 
Degree za bongo ni utopolo mtupu, tena wazazi wengi wangestuka ni kuwekeza kwenye fani tu, lakini kwingine huko hakuna kitu
inategemeana na mtu. si wote ni empty .. vichwa vipo kinachokosekana ni fursa tu.
pia elim usipoitumia muda mrefu makali yanapungua.
 
Back
Top Bottom