EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,845
- 13,197
Vipumbavu hivi vya kushinda tiktako oh samahani tiktok ndio vya kwenda kulima kweli?,you serous
Hahaha mkuu umeanza uhuni?Baada ya hio laki 2.5 kuandaa shamba unaandaa na mavuzi au sio🤣? Vipi kuhusu mbegu na palizi utatekeleza hayo kwa mkoonduw sindio?
Na kupanga ni kuchagua.Maisha ni kupanga.
Najuta why nimetoka bongo maana mda huu nikiwa Namibia mji wa Windhoek nimepewa taarifa na wazawa wa katavi wanasema msimu huu kosakosa gunia za mahindi sio chini ya Mia Tatu, mvua zinatwanga vibaya mno
Nami nikaona nitumie fursa hii kuwakumbuka watoto wa mjini tuliokaa nao kwenye vijiwe vya kahawa Kwa mda mrefu waondoke Kwa mda mda tu jiji la dar Es salaam waende vijijini kuanza kulima, kilimo kinaokoa sana sasa hawa madogo mda wote utawakuta wapo makumbusho kwenye maduka ya watu kila siku wapo sinza, kinondoni, Kariakoo kununua new outfit style kulima hawataki
Wanakesha small planet, kidimbwi, wavuvi camp, samaki samaki, kudowea Heineken na savanna za wanaume wenzao ukisema twende shinyanga Kuna majaruba ya kulima mpunga wanakuita wa pori nawakati hata wakuu wa nchi wanamashamba na wanalima
Vijana tokeni apo Kariakoo, upo na kikomputa chako hicho kujidai unatengeneza simu mbovu kumbe unaiba spair unaweka feki, kazi kufosi tu maisha yashawashinda.. Ngoja siku nikija bongo mniombe pesa za bia muone nitakavyowatukana nyoro nyie
Hana lolote yupo kanoge anavizia videmu vyenye asili ya burundiMkuu, Namibia umeenda kusoma au..?
Nilidhani umeenda kuwawakilisha Walimu kwenye kongamano la kimataifa hahahaaa.....Hapana Nina biashara zangu Naweka Sawa
Mkuu,Najuta why nimetoka bongo maana mda huu nikiwa Namibia mji wa Windhoek nimepewa taarifa na wazawa wa katavi wanasema msimu huu kosakosa gunia za mahindi sio chini ya Mia Tatu, mvua zinatwanga vibaya mno
Nami nikaona nitumie fursa hii kuwakumbuka watoto wa mjini tuliokaa nao kwenye vijiwe vya kahawa Kwa mda mrefu waondoke Kwa mda mda tu jiji la dar Es salaam waende vijijini kuanza kulima, kilimo kinaokoa sana sasa hawa madogo mda wote utawakuta wapo makumbusho kwenye maduka ya watu kila siku wapo sinza, kinondoni, Kariakoo kununua new outfit style kulima hawataki
Wanakesha small planet, kidimbwi, wavuvi camp, samaki samaki, kudowea Heineken na savanna za wanaume wenzao ukisema twende shinyanga Kuna majaruba ya kulima mpunga wanakuita wa pori nawakati hata wakuu wa nchi wanamashamba na wanalima
Vijana tokeni apo Kariakoo, upo na kikomputa chako hicho kujidai unatengeneza simu mbovu kumbe unaiba spair unaweka feki, kazi kufosi tu maisha yashawashinda.. Ngoja siku nikija bongo mniombe pesa za bia muone nitakavyowatukana nyoro nyie
Mkuu kilimo cha WhatsApp hicho usihangaike nao wapo walimwambia dada mmoja afuge nyoka atauza China wana mteja na walimpeleka Mchina kutoka Kariakoo kama ndio mteja wahuni sio watu...Baada ya hio laki 2.5 kuandaa shamba unaandaa na mavuzi au sio🤣? Vipi kuhusu mbegu na palizi utatekeleza hayo kwa mkoonduw sindio?
Nilikuwa ninakuheshimu sanaBaada ya hio laki 2.5 kuandaa shamba unaandaa na mavuzi au sio🤣? Vipi kuhusu mbegu na palizi utatekeleza hayo kwa mkoonduw sindio?
Kama pana watu wanaishi sio mbugani hakuna asieweza kuishi Mazee toa Mchongo vijana waje..Niko katavi, majimoto na mlele, acha kuongea usioyajua. Katavi sio mchezo.
Kama hujafanya hizi shughuli usipotoshe watu.Mkuu kilimo cha WhatsApp hicho usihangaike nao wapo walimwambia dada mmoja afuge nyoka atauza China wana mteja na walimpeleka Mchina kutoka Kariakoo kama ndio mteja wahuni sio watu...
Mkuu kilimo ni biashara kama biashara zingine zinahitaji mtaji na pia kusubiri ili uweze kuhudumia shamba lako kama mtaji ndio huo huo wa kula ukilima wewe utakula nimi na shamba linahitaji mahitaji yake muhimu..Kama hujafanya hizi shughuli usipotoshe watu.
By the way mtoa mada katoa ushauri.
Hakuna mtu analazimishwa kazi.
Umewahi kulima?Mkuu kilimo ni biashara kama biashara zingine zinahitaji mtaji na pia kusubiri ili uweze kuhudumia shamba lako kama mtaji ndio huo huo wa kula ukilima wewe utakula nimi na shamba linahitaji mahitaji yake muhimu..
Baada ya hio laki 2.5 kuandaa shamba unaandaa na mavuzi au sio