Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Japo sio wazee wote ila asilimia kubwa wazee wengi wakishatoka ndani ya sytem na kustaafu
Hujawa mioyo ya chuki, fitina na majungu na mara nyingi hupenda kujua hapa mjini mtu unajishughulisha na na nini na hata wakijua utasikia mara ohoo anauza madawa ya kulevya, mara ohoo huyu dogo mwizi kazini hana hata mwaka ana Gali, mara ohoo kijana yule tapeli, mara jambazi mara ohoo utajiri wake
Wengine wanaenda mbali zaidi wakufanyie kitu chochote ili mradi mambo yako yahalibike iyo ndo furaha yao,
Hivyo kuweni makini sana hawa wazee kukuaribia mambo yako dakika sifuri coz wengi walikuwepo ndani ya system hivyo wanajua wapite wapi kukuharumibia
Hujawa mioyo ya chuki, fitina na majungu na mara nyingi hupenda kujua hapa mjini mtu unajishughulisha na na nini na hata wakijua utasikia mara ohoo anauza madawa ya kulevya, mara ohoo huyu dogo mwizi kazini hana hata mwaka ana Gali, mara ohoo kijana yule tapeli, mara jambazi mara ohoo utajiri wake
Wengine wanaenda mbali zaidi wakufanyie kitu chochote ili mradi mambo yako yahalibike iyo ndo furaha yao,
Hivyo kuweni makini sana hawa wazee kukuaribia mambo yako dakika sifuri coz wengi walikuwepo ndani ya system hivyo wanajua wapite wapi kukuharumibia