kitandilikunja
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 229
- 36
John Cena amenza kuisha kabisa!
Sio ameanza kuisha;ni kaisha kabisa zile u can't see me hana tena amebaki maneno tu.
John Cena amenza kuisha kabisa!
Sio ameanza kuisha;ni kaisha kabisa zile u can't see me hana tena amebaki maneno tu.
Yes yes yes(daniel bryan) na roman reigns,(I will,I can) hawa jamaa nawapenda sana. Hivi roman reigns na brock resner ni lin watapigana kugombea mkanda wa wwe?
Imenibidi nifurahi.Kama una miaka kuanzia 35 na hakuna hata kiingilio kimoja hapo juu ambacho unaweza kukimudu basi ujue kabisa hauishi bali unadumu.