siasa ya maendeleo
Member
- Jul 29, 2015
- 47
- 14
Mimi itikadi yangu ni CHADEMA, nimeokoka na ninampenda MUNGU.
Napenda kuwasisitizia sana ndugu zangu wana JamiiForums, biblia inasema hakuna mamlaka isiyowekwa na Mungu. Kwa jinsi ninavyojua na uhakika nilionao mimi, Tanzania kwa sasa inaongozwa na Mungu mwenyewe aliyeziumba Mbingu na nchi.
Wanasiasa kwa asili ni waongo, ni watu wenye kutafuta masilahi yao, huwa na fitina wao kwa wao na wanapo ona kuna maslahi yao huungana na kusahau tofauti zao mfano William Ruto na Kenyatta huko nchini Kenya.
CHADEMA kukubaliana na Lowassa mwaka huu kwa lengo la kushika dola japo walimwita fisadi, na Dr. Kaburou au Saidi Arfi kurudi CCM baada ya kupoteza mwelekeo CDM.
Jaman,i tutumieni akili za kawaida, hivi Lowassa au Sumaye angepitishwa na NEC kugombea urais wangehama CCM? Wasingekuwa wanaishambulia CHADEMA sasa?
Na UKAWA wangekuwa wamewachafua kiasi gani mpaka sasa?
Na Lowassa angechaguliwa NEC, Kingunge angehama CCM au kuishambulia?
Pia, Dr. Slaa angepewa kugombea urais UKAWA angejiuzulu siasa na kuitukana CHADEMA?
Wananchi tumieni akili na mwongozo wa Mungu kumchagua rais, na pia muwe tayari kupokea matokeo kwa kuwa huyu rais anayekuja amechaguliwa na Mungu.
Napenda kuwasisitizia sana ndugu zangu wana JamiiForums, biblia inasema hakuna mamlaka isiyowekwa na Mungu. Kwa jinsi ninavyojua na uhakika nilionao mimi, Tanzania kwa sasa inaongozwa na Mungu mwenyewe aliyeziumba Mbingu na nchi.
Wanasiasa kwa asili ni waongo, ni watu wenye kutafuta masilahi yao, huwa na fitina wao kwa wao na wanapo ona kuna maslahi yao huungana na kusahau tofauti zao mfano William Ruto na Kenyatta huko nchini Kenya.
CHADEMA kukubaliana na Lowassa mwaka huu kwa lengo la kushika dola japo walimwita fisadi, na Dr. Kaburou au Saidi Arfi kurudi CCM baada ya kupoteza mwelekeo CDM.
Jaman,i tutumieni akili za kawaida, hivi Lowassa au Sumaye angepitishwa na NEC kugombea urais wangehama CCM? Wasingekuwa wanaishambulia CHADEMA sasa?
Na UKAWA wangekuwa wamewachafua kiasi gani mpaka sasa?
Na Lowassa angechaguliwa NEC, Kingunge angehama CCM au kuishambulia?
Pia, Dr. Slaa angepewa kugombea urais UKAWA angejiuzulu siasa na kuitukana CHADEMA?
Wananchi tumieni akili na mwongozo wa Mungu kumchagua rais, na pia muwe tayari kupokea matokeo kwa kuwa huyu rais anayekuja amechaguliwa na Mungu.