Ndugu pole kwa kutopata majibu sahihi kwa wakati. Mimi najua mtu anayefuga na kuzalisha vifaranga vya samaki kule Kibamba ndani kidogo. Kila kifaranga ni shs.200/= Pia wanatoa ushauri bure wa namna ya kuandaa bwawa na kufuga samaki. Tafuta jamaa anaitwas Fred kwa namba 0717537070
Ndugu pole kwa kutopata majibu sahihi kwa wakati. Mimi najua mtu anayefuga na kuzalisha vifaranga vya samaki kule Kibamba ndani kidogo. Kila kifaranga ni shs.200/= Pia wanatoa ushauri bure wa namna ya kuandaa bwawa na kufuga samaki. Tafuta jamaa anaitwas Fred kwa namba 0717537070
Asilimia 95 ya wakulima waliochukua vifaranga kwao wamekuwa wakilalamika hivyo. Hali ni hivyo pia kwa wakulima niliowatembelea mimi. Sababu kubwa hatujajua lakini inawezekana zikawa za kibailojia zaidi. Karibu.